Ilala lilitokana na maeneo hayo kuwa na waislamu wengi wa wenye kufuata toba ya allah hivo wenyeji wakapaita maeneo ya Lailah hailalah.Watu wakashindwa kutamka wakaishia ilala ! Na hata eneo la amana pale kulikuwa na benki ya kuweka pesa au amana zao na ndo mpaka leo panaitwa amana !