Huu muujiza na ushuhuda niliosikia kwa Mwamposa umenistua

Kwa uelewa wangu wa kibangibangi,wenye HIV wakimeza manjugu ukipima virusi havionekani.Sasa mama anatafuta wajinga walete manjugu yao ayaombee wameze wakapime test ionyeshe negative awapige pesa kuwa amewaponya.Simple like that.
Na wengi wakishatoka kupima huko, wanakuja kutoa ushuhuda kuwa wameponywa HIV then wanaacha kula dozi; kinachofuata sasa...
 
Mbona huyo Mwamposa mwenyewe hajawahi kupata muujiza kama huo? Yeye pesa anapata kwa hao hao mazuzu maana anajua za miujiza hazipo.
 
Mbona huyo Mwamposa mwenyewe hajawahi kupata muujiza kama huo? Yeye pesa anapata kwa hao hao mazuzu maana anajua za miujiza hazipo.
Muujiza sio wa pesa tu hivyo pengine huwezi kujua yeye Mwamposa ameshakutana na miujiza gani kwenye maisha yake.
 
Hawa manabiii walishaona Watanzania ni vipofu acha wajipigie hela kutokana na ujinga wetu
NB; maisha haya kina mama na watoto ndio wanaopata shida duniani [emoji848][emoji848]
 
Sure
 
Hii inaonyesha Ni kiasi gani Mwamposa Hana elimu.
Amesahau kila mtandao una limit ya kupokea pesa.
Amesahau TOZO ?the guy must be very forgetful. Tozo si kitu Cha juzi tu??
Amesahau makato ya mtandao.
15 M unaitoa yote.
 
😂😂😂
 

Unaweza kupokea Mpaka million 50 inategemea na line uliyonayo company ya Simu wanakuwezesha

Japo Hii story ni ya kusadikika tumepigwa na kitu kizito🤣🤣🤣
 
Nothing is impossible to God unless you prove to us that the man was wrong or the pastor is a Doom.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]
 
Nlishawahi soma ushuhuda wao kwenye gazeti lake wanauza hapo kanisani..kulikua na mpangaji kanipa ye no muumini hapo..jamani jamani
Eti mmoja anasema anashukuru mwanae kapona alikua anasumbuliwa na Kansa ya ubongo,akaenda hospital madokta wakamwambia inabidi tumfanyie operation mwano tumtoe huo ubongo atakufa.akaubalai wakamtoa. Akabakia fuvu ndani tupu.

Kuna mwingine akasema alikua na mtaji wa million kumi duka.likafilisika lote hadi akaishiwa.akaja kuombewa asahivi duka na mtaji umerudi tena
.nkajiuliza umerudije

Mwingine anadaia alikua hana jamani ana madeni makubwa na hela hana,akaja kuombewa madeni yakaisha..najiuliza yaliisha kimiujiza ama wenye pesa zao walimsamehe.
 
Kwanza mwamposa sio MTUME wala NABII,, hii ni taka taka inayocheza na akili za akina mama
Huwaambii kitu kuhusu huyo mpuuzi🤣🤣🤣
 
Walimtoa Ubongo halafu akabaki, hai hivi huwa wanatuchukulia sisi viande😀😅
 
Na wamewashika akili zaidi wanawake, yaani huwaambii kitu kuhusu hao manabii wao. Wanawatetea na kuwaogopa zaidi ya Mungu. Inshort ndio miungu yao hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…