OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Haa haaWamefika wangapi hadi sasa huko pm?
Kwenda zako huko. Lol 😂😂
Nyie Utopolo acheni kuzuga. Wekeni nambaWee wape dada zako wa Madunduka FC basi. Waache namba za simu unawataka nini watoto wa watu?
Mim namba ya simu kusema kweli sina. Sa sijui hapo itakuaje aiseh😳Ni kweli nachukia sana wanawake wapiga mizinga. Ila sometimes ukiamka vizuri unafanya kweli unayamwagilia maji haya maua ya dunia.
Sio kwamba wana njaa au hawana hela ya bundle, NO ni kushea furaha tu uliyonayo.
Kwa hiyo leo nimeamua tu. Nitagawa bundle la internet kwa kila mtoto wa kike huko PM. Hakuna maneno mengi, unachoweza kufanya ni kuacha namba yako PM.
Kama namba imesajiliwa kwa jina la mwanaume usijisumbue
Mkuu umeishiwa mbinu kabisa?Ni kweli nachukia sana wanawake wapiga mizinga. Ila sometimes ukiamka vizuri unafanya kweli unayamwagilia maji haya maua ya dunia.
Sio kwamba wana njaa au hawana hela ya bundle, NO ni kushea furaha tu uliyonayo.
Kwa hiyo leo nimeamua tu. Nitagawa bundle la internet kwa kila mtoto wa kike huko PM. Hakuna maneno mengi, unachoweza kufanya ni kuacha namba yako PM.
Kama namba imesajiliwa kwa jina la mwanaume usijisumbue
Mkuu nimezungukwa na vyombo kila kona, sina haja na vyombo vya JFMkuu umeishiwa mbinu kabisa?
Hutaki bundle?[emoji23][emoji23] sidanganyiki