Huu mwezi mbona umeanza na nyuzi nyingi kuhusu waislamu. Wapumzisheni hawa ndugu zenu

Huu mwezi mbona umeanza na nyuzi nyingi kuhusu waislamu. Wapumzisheni hawa ndugu zenu

Yani wanaanza mfungo, mara ttiiii, nyuzi karibia laki 😂😂

Mishe mishe zao mwezi huu mnaona kama zinawakera?

Anyway maisha yaendelee, mwanadamu ni zaidi ya dini ndio maana imemshinda.
zipi? ngapi? ziorodheshe hapa
 
wengine wanapenda waelewe sio kashfa .maana ulcers ni ugonjwa kwa anayefahamu
 
Yani wanaanza mfungo, mara ttiiii, nyuzi karibia laki 😂😂

Mishe mishe zao mwezi huu mnaona kama zinawakera?

Anyway maisha yaendelee, mwanadamu ni zaidi ya dini ndio maana imemshinda.
Biashara ya KITI MOTO HAILIPI KWA SASA!
Mikopo kausha tutalipaje???!😭😭
 
Back
Top Bottom