Huu Ndio Mjengo wa Kifahari Anaoujenga Msanii Diamond Platinumz.

Diamond aonyesha mjengo wake anaoujenga na ulipofikia mpaka kwa sasa, tazama hapa picha uone jinsi ilivyofikia




Mkuu picha na heading haviko proportional, mi nilipoona neno mjengo nikajua nitaona picha nyumba ya maana, lakini nimeshangaa kuona swimming pool na gym basi nikakumbuka heading za magazeti ya Udaku.
 
Duh! sijui ni lack of exposure au uwezo wa kufikiri. Yani fundi anakujengea nyumba hardly a meter kutoka kwenye ukuta wa fensi unamuangalia tu mpaka anamaliza hapo hewa na joto sijui itakuwaje?? Hapo Bilionea kachemka..
 
Duh! sijui ni lack of exposure au uwezo wa kufikiri. Yani fundi anakujengea nyumba hardly a meter kutoka kwenye ukuta wa fensi unamuangalia tu mpaka anamaliza hapo hewa na joto sijui itakuwaje?? Hapo Bilionea kachemka..

Yaani haina haja ya kuweka madirisha kabisa.
 
Wabongo kwa fitina... sijui wanavyopitia tena posts zao humu hivi sasa wanajisikiaje!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…