leo class mnaingia mchana nini
ki vp??
beef ni muhimu ktk hip-hop,hip-hop heads wanaelewa hili,ni kama kijana anaporithi ufalme halafu anatangaza vita na falme tofauti,kifupi ni kwamba beef inakuza hip-hop.mfano mzuri 2pac na Biggie walifanikiwa sana kutokana na beef,na hiyo ikasaidia kupaisha watu wengine kama Jay z na snoop.
Katika siku za karibuni katika tasnia ya muziki wa bongo zimeibuka bifu nyingi hasa kwa wasanii wa HIP HOP TANZANIA
mfano:
Roma/izo B
chid beenz/Afande sele
soggy/afande sele
kikosi cha mizinga(kala pina)/WEUSI
Nick mbishi/WEUSI
chid beenz/jay moe.
POINTI YA MSINGI NDIO TUSEME HUU NDIO MSIMU WAO WA BEEF KWA WANA HIP HOP??
Kwenye "red"=Wasanii wanojiita wanahiphop
Katika siku za karibuni katika tasnia ya muziki wa bongo zimeibuka bifu nyingi hasa kwa wasanii wa HIP HOP TANZANIA
mfano:
Roma/izo B
chid beenz/Afande sele
soggy/afande sele
kikosi cha mizinga(kala pina)/WEUSI
Nick mbishi/WEUSI
chid beenz/jay moe.
POINTI YA MSINGI NDIO TUSEME HUU NDIO MSIMU WAO WA BEEF KWA WANA HIP HOP??
Hapana shule bado zimefungwaleo class mnaingia mchana nini
Na msimu wa mabifu ya mabloggers wakike pia!!! Kazi ipo