Vhagar
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,550
- 39,949
Kwanza mimi cna team katia ya hawa watu wawili ila
Kumfananisha [HASHTAG]#diamond[/HASHTAG] na [HASHTAG]#kiba[/HASHTAG] mna nkumbusha kipindi cha [HASHTAG]#ray[/HASHTAG] na [HASHTAG]#kanumba[/HASHTAG] ujue ilikuaje
Wakati kanumba akiangaika kutafuta masoko ya move nje na kuibua vipaji kama kina rose ndauka,irene poul,jeniffa,patric,kina hamisa
Ray alikua katulia tuu ila watu waliendelea kuwa fananisha paka #kanumba ana kufa ilijulikana kwamba rey ndo angekua merith lakini akafa na bongo move yke.
Sasa ndo hichi kipindi kipindi diamond anapambana kuinua mziki wetu kima taifa kupiga macolabo na kina davido,psqere,kyce,mr.flave na wengine kiba alikua katulia tuu paka inafikia mziki wetu bongo unakua biashara #kiba anazuka na kujiita mfalme.
Sawa kazi zakiba ni nzurii anajua kuimba hatukatai jee kafanya nini cha kujivunia kama taifa, kipindi kiba anajiita Mfalme #diamond ana pambana kuwa toa wasanii kama kina
Homornize
Rayvan
Lavalava
Huku kiba akimchuku Baraka da preice na omyy dimpoz wasanii ambao tayari wamesha kua wanajiweza. Diamond anatengeneza maslahi ya wasanii alipona wasanii wanaonewa hawapati chochote aliamua atoe blog ambayo itawasaidia kujipatia pesa za mauzo ya nyimbo zao.
Hakuishia hapo juzi katoka kuto fursa kwa wakulima wa karanga. Huyu ndie diamond atakae kumbukwa sikuzote kwa haya. Hivi leo Rayvan angekua ni msanii wa kiba na kachukua BET ingekuaje..?
kiukweli #Kiba anaimba vizurii sana ila #diamond nimsanii ambe kafanya vitu vingi avyo tunajivunia kama taifa. Kaipeperusha bendera ipasavyo na heshima yake inabidi tumpe tuu.
Diamond ndio msanii alie leta upinzani paka leo wasanii wanafanya video nzurii.
Hakika kiba hapaswi kufananishwa na huyu jamaa.
Mimi sina team. Mnyonge mnyongeni haki yke mpeni
Kumfananisha [HASHTAG]#diamond[/HASHTAG] na [HASHTAG]#kiba[/HASHTAG] mna nkumbusha kipindi cha [HASHTAG]#ray[/HASHTAG] na [HASHTAG]#kanumba[/HASHTAG] ujue ilikuaje
Wakati kanumba akiangaika kutafuta masoko ya move nje na kuibua vipaji kama kina rose ndauka,irene poul,jeniffa,patric,kina hamisa
Ray alikua katulia tuu ila watu waliendelea kuwa fananisha paka #kanumba ana kufa ilijulikana kwamba rey ndo angekua merith lakini akafa na bongo move yke.
Sasa ndo hichi kipindi kipindi diamond anapambana kuinua mziki wetu kima taifa kupiga macolabo na kina davido,psqere,kyce,mr.flave na wengine kiba alikua katulia tuu paka inafikia mziki wetu bongo unakua biashara #kiba anazuka na kujiita mfalme.
Sawa kazi zakiba ni nzurii anajua kuimba hatukatai jee kafanya nini cha kujivunia kama taifa, kipindi kiba anajiita Mfalme #diamond ana pambana kuwa toa wasanii kama kina
Homornize
Rayvan
Lavalava
Huku kiba akimchuku Baraka da preice na omyy dimpoz wasanii ambao tayari wamesha kua wanajiweza. Diamond anatengeneza maslahi ya wasanii alipona wasanii wanaonewa hawapati chochote aliamua atoe blog ambayo itawasaidia kujipatia pesa za mauzo ya nyimbo zao.
Hakuishia hapo juzi katoka kuto fursa kwa wakulima wa karanga. Huyu ndie diamond atakae kumbukwa sikuzote kwa haya. Hivi leo Rayvan angekua ni msanii wa kiba na kachukua BET ingekuaje..?
kiukweli #Kiba anaimba vizurii sana ila #diamond nimsanii ambe kafanya vitu vingi avyo tunajivunia kama taifa. Kaipeperusha bendera ipasavyo na heshima yake inabidi tumpe tuu.
Diamond ndio msanii alie leta upinzani paka leo wasanii wanafanya video nzurii.
Hakika kiba hapaswi kufananishwa na huyu jamaa.
Mimi sina team. Mnyonge mnyongeni haki yke mpeni