Huu ndio ukweli kwa hawa wawili.Diamond & Kiba

Heri wewe ulieona hayo sijui wasanii wengine watasikikaje sasa hivi bella nae katoa songi sioni promo yani hao wawili wanafanya tanzania ionekane in a wasanii wawili tu wakati kuna watu kibao wanakaza inasikitisha kuna mda naishangaa sana clouds lakini kibiashara acha wafanye hivo watakula wapi Na fiesta ndo hiyo ila ni tabia mbaya na inanuka kukandamiza wasanii kumshusha mondi nisawa na kuamini ipo siku israel itafutika kwenye uso wa dunia.
 
Kwanza nani aliyekwambia kama bongo tuna Kiba na Diamond peke yake mbn wasanii wapo kibao????why Kiba Nlna Mond???WCB ndiyo wanashindana na Alikiba ndyo maana baada ya kutoa wimbo wakaachia ZILIPENDWA kwa nn wao wanashindana hrf wewe unasema Diamond asishindanishwe????wewe unazuia huku wao wapo tyr??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushabiki ndio umenishindaga aisee yaani niache kupenda wimbo kama [HASHTAG]#nana[/HASHTAG] au [HASHTAG]#MapenziYanaraniDunia[/HASHTAG] kisa eti uteam ushuzi!!
 
Media mtazisingizia bure mashabiki ndio wanapromoti huo ushindani na media kazi yake ni kulipo yale yaliyopo katika jamii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aiseee ni kweli lkn imekuwa kali zaidi maana inaweza ua mziki wa Tanzania,ss hv wasanii wengine hata hawapewi time.



Hapa nadhan wanamaanisha wameguswa na wimbo wa Ali Kiba.
Philips X2560
Ni bora watu watakao ingia katika Akaunti hiyo ya Clouds, pia wakikutana na hiyo post..........

Ningewashauri wajibu kwa kukoment, "VIONGOZI waache kuongozwa na U-Team" kuna Viongozi wanadhani kumbeba Kiba, huku wakimshusha Dai, ni kama kumkomoa MLEZI wao P. Makonda...!!

Wakumbuke kuwa kilaMtanzania Mpenzi na Shabiki wa Muziki huu wa Bongo Fleva, anaufahamu ukweli wa nani ni zaidi kati ya hawa watu wawili.

Ningewashauri watu kuziondoa chuki binafsi, na kuwaweka watu hawa pamoja (katika level moja) kwa lengo la kuwaunganisha Mashabiki na Wasanii wote wa Bongo Fleva, waweze kusongesha MUZIKI wetu kwenda mbele zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kama hapaswi kufananishwa mbona yeye ndo muanzilishi wa chokochoko zote......huoni ingekua vizuri ungeanzisha thread ya kumshauri Diamond aache utoto wa kutafta KiK za hovyo
 
Umerogwa na mshana.?
 
Kwaiyo kila anaemkubali Ali hajielewi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…