Mmmh!!Umelisoma vzr hilo tangazo lkn?mi mbona nimeona contact hapo chini kabisa,au contact ni email na phone no. tu?Jipange sometimes acha majungu.
Sijaona upuuzi wao ila nimeona upuuzi wako wewe wamekuwekea adress yao hapo chini unataka nin zaidi
Angalia box number zipo hapo usikurupuke....... Usikurupuke
Ndugu zangu watafutaji wa ajira, site ya zoom tanzania najua inasumbua wakati mwingine kwa kubandika kazi bila kuwa na contact aina yeyote.ikiwemo mail wala phone numbers na boz zao ni uongo mtupu alafu unakuta imematch fani yako. UFALA HUU SIYO BAHATI MBAYA BALI NI MAKUSUDI ILI WAENGEZE VIEWERS KWENYE WEBSITE YAO. MUNGU AWALAANI WAFANYAO HAYA.!!
Mfano ni huu:
View attachment 57573View attachment 57573
haina kwere, Nabii suleiman endelea kuwalaani zoom kwa we kukosa kazi, nunua magazeti basi,
zoom wanasaidia sana , Rogi.....sa jamaa ana anawalaumu tu , kama anaona hawamsaidii si anunue magazetiJamaa wanatusaidia sana..mimi nilishawahi kuitwa kwenye usaili na maombi nilituma kupitia zoomtanzania.co.tz sema ndo hivyo jamaa hao waliniahidi kampunga kadogo nikaachana nao..
Ndugu zangu watafutaji wa ajira, site ya zoom tanzania najua inasumbua wakati mwingine kwa kubandika kazi bila kuwa na contact aina yeyote.ikiwemo mail wala phone numbers na boz zao ni uongo mtupu alafu unakuta imematch fani yako. UFALA HUU SIYO BAHATI MBAYA BALI NI MAKUSUDI ILI WAENGEZE VIEWERS KWENYE WEBSITE YAO. MUNGU AWALAANI WAFANYAO HAYA.!!
Mfano ni huu:
View attachment 57573View attachment 57573
Ipo siku mtanielewa....
Kwa majungu yako kamwe labda wafuasi wa S.A.W ndio watakuelewa sio sisi tusiopenda majungu.