Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah! Najuta kukupa fotoalbamu yangu.
Chondechonde usiweke ile niliyopiga na mama matesha.
Hommie we acha tu. Miksa ya serengeti na valuu ilinipeleka kitandani saa mbili na dakika ishirini na saba. Usijaribu hii mpwa, ni hatari kwa afya yako.ha ha ha hommie naona umenitwangia raba mtoni!! BTW jana usiku valuu zilizidi nn mbona hukujibu msg!! dah hapa nna hangover ya kufa mtu.....
Hahaha! Mamushka bana. Hiyo mwenyewe alikuwa anatamba amei-import toka nchi jirani ya Kenya. Enzi hizo tulikuwa tunaziita chachacha. Yeboyebo ni enzi hizi za vijana wa St. Mtakatifu intanesho akademi skuli.Kaizer nae kavaa chachacha (aka yeboyebo)
Kama umeshamjua Xpin hapo, basi huyo mwingine ndio Kaizer.Yupi hapo ni Kaizer?...
Hommie we acha tu. Miksa ya serengeti na valuu ilinipeleka kitandani saa mbili na dakika ishirini na saba. Usijaribu hii mpwa, ni hatari kwa afya yako.
.
Hivi kumbe hawajatolewa UEFA?he he he kwa hiyo hukoana jinsi watoto wa wenger walivyo adhibiwa!! hapo kwenye red he he he he ni sawa na mixer ya Waragi na Nile special!! don't try this at home!!
Kuna vile viatu kama njumu vya plastic (viliitwa GoGo)....anyone with a pic.Hiyo mwenyewe alikuwa anatamba amei-import toka nchi jirani ya Kenya. Enzi hizo tulikuwa tunaziita chachacha.
ndhani umeniambukia hangover.. Kaizer is the one in red? ngoja nikatufute asprinKama umeshamjua Xpin hapo, basi huyo mwingine ndio Kaizer.
hhaaaaaa papushka umenikumbusha mbali sana, duh B WA UKWELI HIYO MITOKO ALIKUWA ANADUNDIA ILE MBAYA AFU ANAONEKANA WA MAANA SANA.Hommie we acha tu. Miksa ya serengeti na valuu ilinipeleka kitandani saa mbili na dakika ishirini na saba. Usijaribu hii mpwa, ni hatari kwa afya yako.
Hahaha! Mamushka bana. Hiyo mwenyewe alikuwa anatamba amei-import toka nchi jirani ya Kenya. Enzi hizo tulikuwa tunaziita chachacha. Yeboyebo ni enzi hizi za vijana wa St. Mtakatifu intanesho akademi skuli.
Hivi kumbe hawajatolewa UEFA?
Kama ni hivyo basi Livapuli watakuwa mabingwa.
Ngoja nikazimue kwanza manake naona kama skrini ina vimulimuli. Will be back shortly.
vijana wametoka mbali sana.hapa ni kipindi kileeee wanajifunza kunywa mbege mkuu:
![]()
Hahahaha! Dah Umenikumbusha mbali sana. Ile kitu ukiitinga na suruwale ya mchelemchele na shati la azaro, vibinti vya Mrike sekandari skuli vinakuwa mali yako ya kudumu!Kuna vile viatu kama njumu vya plastic (viliitwa GoGo)....anyone with a pic.
Tofauti yetu ni moja tu hivi sasa. Wakati mimi napotezea muda wangu kaunta homeboy wangu muda wake mwingi unaishia gesti hausi!Urafiki wao umeanzia mbali, hawakukutana barabarani yakhe!!!!!!
Njoo nikupe dawa. Hutajuta kunifahamu.ndhani umeniambukia hangover.. Kaizer is the one in red? ngoja nikatufute asprin
Hehehe! Kipindi hicho alikuwa anatumikia misa ya pili. Hapo shetani alikuwa hajaingia kwenye ubongo wake. Alikuwa hajui matusi kabisaaaaa!hhaaaaaa papushka umenikumbusha mbali sana, duh B WA UKWELI HIYO MITOKO ALIKUWA ANADUNDIA ILE MBAYA AFU ANAONEKANA WA MAANA SANA.
Nadhani sasa umeona madhara ya miksa ya valuu na serengeti.ha ha ha ni Primier bana sio UEFA....naona ubingwa kwao basi tumebakisha RED devel ku give up tu!!
Umekosea kidogo. Hizo raba mtoni aliniletea anko wangu. Alivipora Uganda wakati wa vita dhidi ya Iddi Amin. Ulikuwa umezaliwa wewe?hahaha bila shaka X-pin ndio huyo mwenye yeboyebo ..huo ndo urafiki wa kweli hasa
Shamesha mmeku! Shamesha bung'a!Hifi vitoto fina saga rami baraa! yesu na maria rosa hivi vitoto ni vya msee kimario wa pale Mkuu kwa Makundi.