Usanii huu ndugu yangu.Mbona yetu tuli-launch kitambo, tatizo nyie mumelala sana sijui huwa mnakwama wapi...
Japo huwa mnawakilisha vyema kwenye tasnia ya kuruka kwa ungo, cheki hii video mlivyobobea
Na hawajatawaliwa hao, Kenya Muzungu kawajengea na kuwaachia kila kitu mpaka Choo kazi yao ni kunya tu, lkn bado wanashindwa kutoboa, kazi yao ni kuiba na kubomoa kila kitu alichoacha Muzungu.
Ila Ethiopia imezidi kwakweli. Hata wananchi wake wamekondeanaa? Njaaaa!
Mbona yetu tuli-launch kitambo, tatizo nyie mumelala sana sijui huwa mnakwama wapi...
Japo huwa mnawakilisha vyema kwenye tasnia ya kuruka kwa ungo, cheki hii video mlivyobobea
na njaa kama Kenya! Wanahitaji bonde la mpunga zaidi ya kurusha toy space!Hii Ethiopia ndio inayoongoza kwa waamiaji haramu wanaokamatwa wakiikimbia nchi yao kwenda Africa ya kusini na kwingineko. Sasa haya mambo ya satellite na umasikini uliokithiri wa wananchi wake na uchumi kukua kuliko nchi zooote Africa ni confusion kwakweli!
Endelea kubaki hapo hapo 'tumewaacha mbali sana' mpaka tukushike bega hutaamini macho yakoJamaa wa 'mwakani Tanzania kuipiku Kenya' zimesalia siku kumi, tunasubiri kwa hamu kuona miujiza maana pengo baina yetu linazidi kuongezeka, tunazidi kuwaacha mbali sana, sasa sijui miujiza ipi mtatenda.
Umesikia wazungu wameanza kuhaa kuiondoa tz kwenye nchi masikini zaidi maana hata wao wanaumia kama nyinyi wakenya kuona tz inavyo Fanya mambo mazuri ambayo hata wao mengine hawana, wakenya ule mpango wenu wa kuichochea dunia ili tz iondolewe kwenye unafuu wa kuuza bidhaa ulaya ili iwe kama Kenya ili tukubali EPA maana wakenya wanajidanganya wakizani tukiondolewa kwenye unafuu tuta jiunga na upuuzii wa EPAJamaa wa 'mwakani Tanzania kuipiku Kenya' zimesalia siku kumi, tunasubiri kwa hamu kuona miujiza maana pengo baina yetu linazidi kuongezeka, tunazidi kuwaacha mbali sana, sasa sijui miujiza ipi mtatenda.
Kuhusu mwakani nikumbusheni zimebaki siku ngapi kuingia mwakani ?? Maana kazi ya kuhesabu nimewaachia wakenya ,mwakani mtajua kwanini king kaka kawaita "wajinga nyinyi" na mtajua akukamatwa Kwa sababu ya Tanzania.Serikali yenu imetambua maumivu ya wakenya kuona tz ikiwa great in east Africa Kwa kila kitu .tena wanyama poli wameongezeka Kwa Mara 2 hadi 3 toka komando magufuli kushika nchi ,hadi wanyama Serengeti wanamkubali jiweJamaa wa 'mwakani Tanzania kuipiku Kenya' zimesalia siku kumi, tunasubiri kwa hamu kuona miujiza maana pengo baina yetu linazidi kuongezeka, tunazidi kuwaacha mbali sana, sasa sijui miujiza ipi mtatenda.
Kuhusu mwakani nikumbusheni zimebaki siku ngapi kuingia mwakani ?? Maana kazi ya kuhesabu nimewaachia wakenya ,mwakani mtajua kwanini king kaka kawaita "wajinga nyinyi" na mtajua akukamatwa Kwa sababu ya Tanzania.Serikali yenu imetambua maumivu ya wakenya kuona tz ikiwa great in east Africa Kwa kila kitu .tena wanyama poli wameongezeka Kwa Mara 2 hadi 3 toka komando magufuli kushika nchi ,hadi wanyama Serengeti wanamkubali jiwe
Sent using Jamii Forums mobile app
"Wajinga nyinyi"Imekuingia hadi unani-quote mara mbili na makelele yenye maneno mengi yasiyokua na mantiki, mwakani bado siku kumi tuone kama mtaruka kwa ungo. Tunazidi kuwacha kwa turbo mode, nyie ni wale wale tatizo uzembe mwingi halalafu uongozi wa CCM.
Dah! Hizi akili ni za kutamausha kweli. Huna tofauti yeyote na mnasa fuko kule ndaniii kabisa vijijini. Satelite yenyewe itatumika kwenye utafiti, wa kilimo na madini, mabadiliko ya anga, mazingira n.k. Jambo la muhimu sana kwa nchi ambayo huwa inakumbwa na kiangazi na mafuriko ya mara kwa mara. Ndio maana mtazidi kufanya ukulima wa jembe na kungoja mwaka mzima ili nazi na maparachichi yadondoke mkayauze. Wakati mna potential kubwa zaidi ya upuuzi huo wa kizamani. Nchi 38 za Afrika tayari zimerusha satelite! Mpo kwenye ligi ya zaidi ya nchi 15 zilizosalia, nchi ambazo zinaishi kwenye karne ya juzi.na njaa kama Kenya! Wanahitaji bonde la mpunga zaidi ya kurusha toy space!
Kuna mwenzakohapo juu kaja na hii kete unayotumia, kumbuka Wachina hukamatwa kwenye makontena, ila hiyo hiyo China inaipelekesha Marekani kwa kasi kwenye masuala ya uchumi.
Says a person from a country that has been depending on Kenyan radders as late as 2019🤣🤣🤣na njaa kama Kenya! Wanahitaji bonde la mpunga zaidi ya kurusha toy space!