Huu ndio utaratibu unapoingia kwenye gari ya mtu

Namba 11
Tuliza kitenesi.....

Oho hili kwa Fulani linauzwa beii..***** kanunue huko sasa๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Hiii sasa inabid iwe printed alafu iwekwe kwa mlango wa garii๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Duuh sawa mkuu,Wacha tuu nipande la kulipia,,nitajisahau,!
 
Wenye magari yao WOYEE wenye gari WOYEEE

Nilikua nachomekea TU in JPM VOICE
 
Shamba unategemea kuwa na miguu Safi!
 
TRA wanatufanya hivi vipasso vyetu tuvione vya maana sana..sijui tungekua tunasukuma gari kama za Wazambia ingekuaje maana wao wanalipa kodi kwa GVM sio mwaka wala invoice yako..Legend 50 ya 2022 kodi ni Kwatcha 60,000 sawa na Tsh 6,000,000.
 
TRA wanatufanya hivi vipasso vyetu tuvione vya maana sana..sijui tungekua tunasukuma gari kama za Wazambia ingekuaje maana wao wanalipa kodi kwa GVM sio mwaka wala invoice yako..Legend 50 ya 2022 kodi ni Kwatcha 60,000 sawa na Tsh 6,000,000.
Sijakuelewa port fafanua GVM na mengineyo!
 
Sijakuelewa port fafanua GVM na mengineyo!
Gvm ni uzito wa gari mengineyo ni kwamba unaweza kusajiri gari lako Zambia ukiwa na vibali vya biashara kule harafu Tanzania inaingia kwa vibali vya kuja kutalii tu..ila gari nyingi za SA msimu wa biashara zinaishia Zambia mzunguko ni mkubwa kuliko Tanzania wanaosema Parts parts...
 
TRA wanatufanya hivi vipasso vyetu tuvione vya maana sana..sijui tungekua tunasukuma gari kama za Wazambia ingekuaje maana wao wanalipa kodi kwa GVM sio mwaka wala invoice yako..Legend 50 ya 2022 kodi ni Kwatcha 60,000 sawa na Tsh 6,000,000.
Aisee.. Ukiona hivi unajuta kuzaliwa tz
 
wacha niendelee kupanda daladala niwahi seat ya dirishani
 
Hiyo namba 4 nitaenda kumpa binti wangu wa kazi asome
Kuna jamaa aliomba lift, namna alivyofunga mlango aisee nilihisi kama nimepigwa na kitu kizito. Alipofika wakati anashuka uzalendo ulinishinda ilibidi nimwambie in a polite way kuwa man usiupigize funga mdogo mdogo.

Unajua kuna baadhi wamekariri so ni kubamiza hadi unahisi kioo kinamwagika, nikashaona hawa maraia design wabamiza milango hua nashuka nawafungulia kisha nafunga mwenyewe.
 
Hii ya kubamiza mlango ni wengi mno wanafanya sasa sijui shida nini ni bora afunge kisha uone kwa dash mlango haujafungwa kisha unamwambia aufungue na aufunge taratibu.
 
Wengi wanahisi wamepanda daladala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ