kdrama_masters
Member
- Oct 16, 2020
- 92
- 196
Asalaam alaikum ndugu zangu, habarini za usiku. Kwanza poleni na majukumu yenu ya siku nzima na Mungu awape nguvu na afya za kuwawezesha muamke mkiwa fit katika majukum yenu ya kujenga Taifa.
Kuna msemo unasema "ACHA INYESHE TUONE PANAPO VUJA"Kinacho endelea mitandaoni hizi siku mbili nakichukulia kama mvua inayo nyesha ili tuone panapo vuja.
Baada ya sakata la baadhi ya wanaojiita wanaharakati kumpinga kijana mpambanaj anae itangaza nchi, eti kisa yeye ni mwanachama wa CCM, mara ataitumia tunzo kama fimbo ya kuwachapia wapinzani wake. Inachekesha lakin hii ndio Tanzania kila kitu kinawezekana hapa.
Kitu kilichonifurahisha ni kua baada ya wanaharakati wale kuona kama wameshinda ile vita siku ya jana ni hii reaction ya leo. Baada ya wasanii, watangazaji, waigizani, bloggers, businessmen, wadau na wapenzi wa muziki wote kumsapoti Diamond na kusambaza upendo hata wale walio onekana walikua wanatofauti tangu zamani.
Diamond hata asiposhinda hii tunzo lakini sisi kama nchi tumesha shinda, maana tumepiga hatua moja kubwa ya kutoa matabaka yote na chuki iliokua inakithiri katika tasnia ya burudani.
Huu ndio muda sasa wa kurudi na kuanza kusupot hustling za vijana wenzetu katika kila angle bila kujali matabaka.
Ikitokea tuzo amekua nominated msanii wetu yeyote tuibebe kama nchi na tuisapoti na hapo tutakua tumepiga hatua kubwa mno.
NB:LOVE ALWAYS WIN OVER HATE
Kuna msemo unasema "ACHA INYESHE TUONE PANAPO VUJA"Kinacho endelea mitandaoni hizi siku mbili nakichukulia kama mvua inayo nyesha ili tuone panapo vuja.
Baada ya sakata la baadhi ya wanaojiita wanaharakati kumpinga kijana mpambanaj anae itangaza nchi, eti kisa yeye ni mwanachama wa CCM, mara ataitumia tunzo kama fimbo ya kuwachapia wapinzani wake. Inachekesha lakin hii ndio Tanzania kila kitu kinawezekana hapa.
Kitu kilichonifurahisha ni kua baada ya wanaharakati wale kuona kama wameshinda ile vita siku ya jana ni hii reaction ya leo. Baada ya wasanii, watangazaji, waigizani, bloggers, businessmen, wadau na wapenzi wa muziki wote kumsapoti Diamond na kusambaza upendo hata wale walio onekana walikua wanatofauti tangu zamani.
Diamond hata asiposhinda hii tunzo lakini sisi kama nchi tumesha shinda, maana tumepiga hatua moja kubwa ya kutoa matabaka yote na chuki iliokua inakithiri katika tasnia ya burudani.
Huu ndio muda sasa wa kurudi na kuanza kusupot hustling za vijana wenzetu katika kila angle bila kujali matabaka.
Ikitokea tuzo amekua nominated msanii wetu yeyote tuibebe kama nchi na tuisapoti na hapo tutakua tumepiga hatua kubwa mno.
NB:LOVE ALWAYS WIN OVER HATE