Lasway.Jr
JF-Expert Member
- Jul 25, 2015
- 233
- 413
Mtaalam nimerudi tena, naipenda kazi yangu kwa kuwa inagusa maisha ya watu wengi na Furaha kubwa ni pale unapoona utaalamu wako unasaidia wengine
Leo naomba nidokeze kidogo kuhusu uvunaji wa maji ya mvua
Nitaeleza point chacha za muhimu
Kwa nini tunavuna maji ya mvua ?
Kuna maeneo mengi ya nchi Yetu na hata EA yanapata mvua za wastani na sehem nyingine zinapata mvua kubwa kiasi (600mm-1500mm) total annual rainfall wengine watauliza tunaposema mvua ni 700mm au 1200mm maana yake ni nn? (Rain is measured by the depth of water column in the soil) au tunasema mvua imeingia chini ya Ardhi kwa kiasi gani? Ndio maana yake
Kwa hyo mvua hii huja Mara moja kwa mwaka(miezi mitatu ya mwaka) na miezi Mingine yote hakuna mvua kwa hyo ni ngumu kwa wakulima na wafugaji kuweza kumudu kuendesha shughuli zao bila maji kwa kipindi kirefu kwa hyo kuvuna maji ya mvua kutamsaidia Mkulima/mfugaji aweze kufanya Biashara yake(kilimo na Ufugaji) kwa mwaka mzima
Kuna maeneo ambayo ukichimba maji hupati kabsaa , sehem nyingine ukichimba maji unapata maji yenye chumvi au yanakuwa na chemical nying Sana kias kwamba hayafai kwa chochote (nitakuja kuelezea namna ya kutreat maji ya chumvi siku nyingine)
Na sehem hii mvua zinanyesha vzr kabsaa na nyingi lakini kwa kipind kifupi sana , kwa hiyo kuvuna maji ya mvua ndio solution tosha ya kupata maji safi na salama
Karibunii sana 0763347985/0673000103