Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau hamjamboni nyote?
Nimeleta mada yenye ushahidi kimaandiko.
Hakuna mtoto yeyote aliyekuwa mzaliwa wa kwanza kwa Babaye aliyepata urithi wa Baraka na Mali
Ndiyo Nabii Ibrahimu, Isaka, Yakobo, Yuda, Daudi, Suleiman, Mussa, Efrahim Abel, n.k wote hao hawakuwa wazaliwa wa kwanza ila waririthi Baraka na Mali!
Hata uzao wa Bwana yetu Yesu Kristo haukutikana na mzaliwa wa kwanza!
Naomba upigie mstari Urithi wa Baraka na Mali
Mzaliwa wa kwanza anaweza kufungua milango ya baraka lakini siyo mrirhi mtarajiwa!
Ukiamua kubisha njoo na maandiko kama yapo kweli!
Karibuni tujifunze
Nimeleta mada yenye ushahidi kimaandiko.
Hakuna mtoto yeyote aliyekuwa mzaliwa wa kwanza kwa Babaye aliyepata urithi wa Baraka na Mali
Ndiyo Nabii Ibrahimu, Isaka, Yakobo, Yuda, Daudi, Suleiman, Mussa, Efrahim Abel, n.k wote hao hawakuwa wazaliwa wa kwanza ila waririthi Baraka na Mali!
Hata uzao wa Bwana yetu Yesu Kristo haukutikana na mzaliwa wa kwanza!
Naomba upigie mstari Urithi wa Baraka na Mali
Mzaliwa wa kwanza anaweza kufungua milango ya baraka lakini siyo mrirhi mtarajiwa!
Ukiamua kubisha njoo na maandiko kama yapo kweli!
Karibuni tujifunze