√√√🙌🙌🙌🙌🙌USAJILI BORA MPAKA SASA
Dirisha halijafungwa bado lipo wazi ila mapaka muda huu sajili zote zilizofanyika hapa nchini kwenye klabu zote, bila kupepesa macho, bila unafki huu kwangu ndo usajili Bora uliofanywa na Yanga Africans wa Yao Attohoula [emoji119][emoji736]
Huyu mwamba ana speed
Accuracy in tackling
Kufunga
NB: muda utaongea View attachment 2688554
Huyu mwamba nimemuona mechi tatu za shirikisho sina shaka nae kuhusu uwezo wake, hao wengine ngojea ni tusubiri mechi kama tano tutatoa comments.USAJILI BORA MPAKA SASA
Dirisha halijafungwa bado lipo wazi ila mapaka muda huu sajili zote zilizofanyika hapa nchini kwenye klabu zote, bila kupepesa macho, bila unafki huu kwangu ndo usajili Bora uliofanywa na Yanga Africans wa Yao Attohoula [emoji119][emoji736]
Huyu mwamba ana speed
Accuracy in tackling
Kufunga
NB: muda utaongea View attachment 2688554
Nimekwambia nitajie nje ya timu za kariakoo usajili unadhani ni bora mbona timu ni nyingi na zimesajili wewe umebaki kubwabwaja tu.Muombeni mudi pesa .....msajili quality players
Inaonekana hapo sakho ameshindwa kumpita Akaamua kujaribu kwa mbali mzembe ni kipa sio beki .Uyo beki ndio huyu hapa👇View attachment 2688609
Almpa Sakho kiatu kwa uzembe,mzembe sana huyu😅😂
Beki mzembe kwanini kaacha kuruka kuondoa mpira huo wa juu,zembe ssna ilo😂😅Inaonekana hapo sakho ameshindwa kumpita Akaamua kujaribu kwa mbali mzembe ni kipa sio beki .