kwa mambo mengine ya kimicheza gonga au click hapa TANDIKA MIKEKA . huku utaona vitu kama ubashiri wa mechi kwa kila siku, ratiba za mechi pamoja na tetesi za usajili
sio jana tu! hao jamaa tokea msimu uliopita mechi za mwisho mwisho walikua wabaya mbhaaya!' nilikua nikiwaeka kwenye mkeka wangu hawaniangushi ........... mie nawatabiria 10 kupanda juu.
Mwaka huu nahisi Asernal bingwa!
Kwasababu kila msimu huwa anatabiriwa kutoka top four lkn anakomaa anakuwepo, sasa msimu huu anatabiriwa kuwa wa pili ninaanza kuiona ikitwaa kabisa hiyo ndoo!!