GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Umeshindwa hata ku gugo mkuu...hiv hik kizaz mbona kina vilaza sana aisee...yaan ni kizaz cha kutafuniwa kila kitu..dahNimeukuta mkoani Kigoma. Wenyeji wanasema matunda yake ni matamu na yanaliwa.
Huenda ni dragon fruits ya Kiafrika?
Inasemekana, dragon fruits ni kati ya matunda ghali sana Afrika Mashariki! Ninataka nikaipande shambani kwangu.
Kuna mtu anayefahamu kama yana soko?
Kama yana soko, nitaipanda mingi.
Jichanganye
Mlumumba huo KadaJichanganye
Sisi wakati tunakua tulikuwa tunauita washawashaNimeukuta mkoani Kigoma. Wenyeji wanasema matunda yake ni matamu na yanaliwa.
Huenda ni dragon fruits ya Kiafrika?
Inasemekana, dragon fruits ni kati ya matunda ghali sana Afrika Mashariki! Ninataka nikaipande shambani kwangu.
Kuna mtu anayefahamu kama yana soko?
Kama yana soko, nitaipanda mingi.
Kwa hiyo ni familia moja na dragon fruits?Mafurahisha hayo au kwa kizungu ni cactus plant
Hujakamilisha jinaMafurahisha hayo au kwa kizungu ni cactus plant
Kulikoni mkuu? Kama kuna linalotia tashwishwi tujuzane mapema ili kuchukua tahadhari!Jichanganye
Imetosha🤫Hujakamilisha jina
Njombe! Kumbe yanastawi hata maeneo ya baridi! Nilifikiri ni mimea ya ukanda wa "semi arid"Nimeshawahi kula sana enzi za utoto Njombe. Bahati mbaya jina lake kwa kiswahili sijui hata kingereza pia.
Ni kweli yapo mengi sana ukanda wa Makambako, Wanging'ombe, Ilembula, Mtwango, SajaNimeshawahi kula sana enzi za utoto Njombe. Bahati mbaya jina lake kwa kiswahili sijui hata kingereza pia.
Ilikuwa pande zipi za nchi hii mkuu? Tarime?Sisi wakati tunakua tulikuwa tunauita washawasha
NoImetosha🤫
Hayo cactus ndio huyajui?Nimeukuta mkoani Kigoma. Wenyeji wanasema matunda yake ni matamu na yanaliwa.
Huenda ni dragon fruits ya Kiafrika?
Inasemekana, dragon fruits ni kati ya matunda ghali sana Afrika Mashariki! Ninataka nikaipande shambani kwangu.
Kuna mtu anayefahamu kama yana soko?
Kama yana soko, nitaipanda mingi.
Unakosea kusema hivyo mkuu! Uwepo wa google hakuondoi umuhimu wa "discussion".Umeshindwa hata ku gugo mkuu...hiv hik kizaz mbona kina vilaza sana aisee...yaan ni kizaz cha kutafuniwa kila kitu..dah
Chakula safi sana hiyo ya Wachunga Ng'ombe porini. Ingawa inapaswa ulipasue kwa ustadi maana lina tumiba tudogo tudogo juu ya ganda, ukijichanganya ulimi udungwe kazi unayo.Nimeukuta mkoani Kigoma. Wenyeji wanasema matunda yake ni matamu na yanaliwa.
Huenda ni dragon fruits ya Kiafrika?
Inasemekana, dragon fruits ni kati ya matunda ghali sana Afrika Mashariki! Ninataka nikaipande shambani kwangu.
Kuna mtu anayefahamu kama yana soko?
Kama yana soko, nitaipanda mingi.