Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
NJoo Dodoma yapo bure!Nimeukuta mkoani Kigoma. Wenyeji wanasema matunda yake ni matamu na yanaliwa.
Huenda ni dragon fruits ya Kiafrika?
Inasemekana, dragon fruits ni kati ya matunda ghali sana Afrika Mashariki! Ninataka nikaipande shambani kwangu.
Kuna mtu anayefahamu kama yana soko?
Kama yana soko, nitaipanda mingi.
View attachment 2845163
Ni kweliMlumumba huo Kada
🤣🤣🤣Mkuu niliona ya na demand kubwa ila kupitia kwenye mtandao na vipindi vya TV. Fanya research mzee si unajua yale ya sungura wana soko halafu wafuge uone sasa
🙏🙏🙏Sidhani kama kuna mkoa Tanzania hii hakuna miti hiyo.
Nimeyala Iringa, nimeyaona Dodoma, Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Singida, yapo pale kwa Mwamposa Feza Kawe.
✅🙏Cactus
Ova
🙏🙏🙏Yapo mengi tu hayo
Ova
MafraishamkunduuNimeshawahi kula sana enzi za utoto Njombe. Bahati mbaya jina lake kwa kiswahili sijui hata kingereza pia.
MafraishamkunduuMiaka ya mid 70 tukiwa tunasoma tulikuwa tukiwasikia walimu na wazee waliokuwa na hiyo mimea mashambani mwao wakiyaita furahisha nanihii
Hapana na sijawahi ona yakiuzwa,mara nyingi mti huu hujiotea hasa maeneo ya ukame. Matunda yake ni matamuKwa hiyo ni familia moja na dragon fruits?
Lakini dragon fruits nayo hustawi zaidi maeneo yenye asili ya ukame. Kwa mara ya kwanza nimelila mwaka huu. Ni tunda moja lenye ladha nzuri sana, tamu!Hapana na sijawahi ona yakiuzwa,mara nyingi mti huu hujiotea hasa maeneo ya ukame. Matunda yake ni matamu
Yote hayo ni maeneo ya semi arid.Itakuwa ni jamii yake ila sidhani kama una soko , ni kweli matunda yake yanaliwa ila ukila mara ya kwanza unaweza usione uzuri wake(ladha) ni kama matunda pori
Unapatikana hasa maeneo ya ukame kama singida ,Dodoma nafikiri kugoma pia kuja hali hewa inayofanana na hiyo
Nilikuwa najaribu kuvuta picha ila ulipotaja jina mafurahisha umenikumbusha mbali hili jina lilitumika kitambo sana somewhere tukiwa watoto.Na Kwa majina ya asili au Kiswahili nadhani inategemea na eneo husika.Kama hilo jina mafurahisha siyo linatumika maeneo yote.Mafurahisha hayo au kwa kizungu ni cactus plant
nkundu.mziki wake uendapo chooni si wa kitotoHujakamilisha jina