greater than
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 1,653
- 3,060
Mara ya mwisho tuligusia mitindo/styles za muonekano ambazo wale wenye Ukwasi/matajiri,hupenda kuitumia.
Sasa tuangazie mitindo ambayo hutumiwa kwa wingi na wenye kipato cha Kati.
1.
A.MTINDO WA MODERN
2.Mfano
Nyumba nyingi za kota zilizojengwa na Wakoloni mitaa ya
- Msasani Peninsula,
-Magomeni
-Kinondoni
Soko la kariakoo
Kanisa la Roma ,Oysterbay na Mbulu
Shule za Azania,Kibasila
Maktaba kuu
Mahakama ya Kisutu
Chuo Kikuu Dar es salaam na Chuo cha Sayansi Mbeya.
3.
Kanisa la Roma Mbulu
St.Xavier/Kibasila Sec.
Mbweni House
Kanisa la Roma, Oysterbay
Kanisa UDSM
4.Huu ni moja kati ya mitindo migumu ya kudesign majengo
-Wajuvi wa mtindo huu ni.Marehemu Antony Almeida na Beda Amuri
Sasa tuangazie mitindo ambayo hutumiwa kwa wingi na wenye kipato cha Kati.
1.
A.MTINDO WA MODERN
- ulianzishwa miaka ya 1920
- Ulianzia ulaya
- Umbo la jengo hutokana na kazi husika
- Utumizi wa njia asilia kwenye kupunguza joto au baridi ndani ya jengo
- Hakuna kuweka urembo kwenye koti.
- Rangi pendwa ni nyeupe au Kaki iliyopoa
Nyumba nyingi za kota zilizojengwa na Wakoloni mitaa ya
- Msasani Peninsula,
-Magomeni
-Kinondoni
Soko la kariakoo
Kanisa la Roma ,Oysterbay na Mbulu
Shule za Azania,Kibasila
Maktaba kuu
Mahakama ya Kisutu
Chuo Kikuu Dar es salaam na Chuo cha Sayansi Mbeya.
3.
Kanisa la Roma Mbulu
St.Xavier/Kibasila Sec.
Mbweni House
Kanisa la Roma, Oysterbay
Kanisa UDSM
4.Huu ni moja kati ya mitindo migumu ya kudesign majengo
-Wajuvi wa mtindo huu ni.Marehemu Antony Almeida na Beda Amuri