MFALME WETU
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 4,071
- 10,028
Nimeikuta uko mitandaoni
Imenifikirisha sana.!!
Imenifikirisha sana.!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani mfiwa wa karibu namna hiyo anachagua kipande cha kuku, duh!Hii ni baada ya kumuuguza marehemu muda mrefu,machungu yanakua madogo maana watu wanakua wamejiandaa kisaikolojia.
Misiba ya ghafla hua akili haiwezi kukubali kwa haraka.
Mfano ajali ya ghafla na mjane/watoto wabaki hawajui hata password ya Bank ni kisanga
Magonjwa ni mengi sana jamani!!!
Hata hiyo nguvu ya kutembea nitaipata wapi? Mwenzetu anachukua chakula kwa bashasha kama yuko kwenye harusi ya mwanaye!
Tafuta pesa,msiba sio huzun Kwa wenye pesa
Kuna MSIBA na KILIO. Huu ni msiba
Utofauti wake ni upi mkuu,Kuna MSIBA na KILIO. Huu ni msiba
Ntakua wa mwisho kuamini kuwa ukiwa na ukwasi basi unakua na ufukara wa hisiaTafuta hela mkuu
Sawa kaka mkubwa, sio kwa ubaya ila kama una hela i wish siku ufiwe na umpendaeTafuta pesa,msiba sio huzun Kwa wenye pesa
Kidogo una make sense ila nachoamini msiba ni msiba tu, especially ukitokea ndani ya familiaHii ni baada ya kumuuguza marehemu muda mrefu,machungu yanakua madogo maana watu wanakua wamejiandaa kisaikolojia.
Misiba ya ghafla hua akili haiwezi kukubali kwa haraka.
Mfano ajali ya ghafla na mjane/watoto wabaki hawajui hata password ya Bank ni kisanga
Mambo ya mikoani ayo mkuuHuku kwa mafukara ndo tunapata misiba sasa
Wewe imagine unalia alafu unaona plate zimeishia mkondo wa 2 kulia kwako na frequency ya kuletwa sahani inazidi kushukaa
unabakiii MUNGU WANGU WEEEEEEEEEEEE