Hakuna anayejali
JF-Expert Member
- Jun 3, 2023
- 418
- 526
Huu ni msimu wa uuzaji mahindi na wanunuzi wakuu ni serikali, lakini ajabu nimetembela magodawni kadhaa hakuna mashine ya kupepeta taka kama hii hapa chini.
Wanatumia sefa za waya ambazo kwa kutwa sefa moja haimalizi tani30 lakini hiyo mashine inarahisisha kazi kwa kutwa inamaliza tani90. Serikali fanyeni hima mnunuwe hii kwenye magodawni yote.
Pia kuna mashine za kuchambuwa vipande vya magunzi, mahindi yaliyooza hata yaliyokatika mnunuwe hizi itasaidia mahindi yakiletwa kwenu mnasafisha chap mkulima mnamkata gharama za usafishaji.
Pia zipo mashine za kukausha mahindi hii inasaidia mtu anavuna mahindi hata kama hayajakauka vema yanakaushwa kwa mashine na mkulima anawahi kulima tena ktk msimu mmoja.
Wanatumia sefa za waya ambazo kwa kutwa sefa moja haimalizi tani30 lakini hiyo mashine inarahisisha kazi kwa kutwa inamaliza tani90. Serikali fanyeni hima mnunuwe hii kwenye magodawni yote.
Pia kuna mashine za kuchambuwa vipande vya magunzi, mahindi yaliyooza hata yaliyokatika mnunuwe hizi itasaidia mahindi yakiletwa kwenu mnasafisha chap mkulima mnamkata gharama za usafishaji.
Pia zipo mashine za kukausha mahindi hii inasaidia mtu anavuna mahindi hata kama hayajakauka vema yanakaushwa kwa mashine na mkulima anawahi kulima tena ktk msimu mmoja.