Hakika aliewaita utopolo aliwaza mbali sanaSasa huu ni muda wa Afrika kujua Yanga ndio baba wa mpira wa Tanzania. Simba atagongwa na Al Ahly kwenye Afrika Super League tena nje ndani.
Nina imani kubwa Yanga atawagonga Al Ahly nje ndani ili maneno yageuke kuwa Al Ahly walikuwa wamewekeza nguvu zao zote kwenye Afrika Super League ndio maana wamepigwa na Yanga nje ndani.
Ninachoongea ninaweza nisisikilizwe au kueleweka na mwishowe kuchekwa lakini siku zote huwa nasemag; mda utaongea.
Kolo kolokwinyo
Ujinga mwingine huuSasa huu ni muda wa Afrika kujua Yanga ndio baba wa mpira wa Tanzania. Simba atagongwa na Al Ahly kwenye Afrika Super League tena nje ndani.
Nina imani kubwa Yanga atawagonga Al Ahly nje ndani ili maneno yageuke kuwa Al Ahly walikuwa wamewekeza nguvu zao zote kwenye Afrika Super League ndio maana wamepigwa na Yanga nje ndani.
Ninachoongea ninaweza nisisikilizwe au kueleweka na mwishowe kuchekwa lakini siku zote huwa nasemag; mda utaongea.