Huu ni mwaka wa hasara kwa wakulima

Mk
Poa poa mkuu. Kwahiyo ni wilaya gani ili nijue hiyo sehemu siku nikija nisipate shida?
Mkuu njoo manchali.chalinze wilaya ya Chamwino gunia elfu30,Kigea Chimaligo Chunyu Wilaya ya Mpwapwa Bei ni debe 4000/gunia 24,000/
 
Mwenye mahindi nataka gunia 8 tu kwa Dar , 0716282670
 
Naamini suluhisho la peke kwa serikali kufungua milango ya kupeleke cha kula nje ya nchi , kuliko kukomaa na wakulima kuuza hapa nchi .
 
Kushuka bei ya chakula ni neema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…