Kwa hiyo Mbowe, Mnyika wasiombewe? Kigaila mkewe ni moja ya wabunge wa Covid 19, kwa hiyo ana uhakika wa hela ya kampeni kutoka kwa mkewe.
Pia mkewe amekuwa akilisha familia ya Benson Kigaila kwa kupitia mshahara wa ubunge, halafu, kinafiki, Kigaila anapanda jukwaani kuwaponda Covid 19