Huu ni sheria kwenye mpira wa mguu?

ruhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
4,368
Reaction score
6,661
Nimekua nikiangalia wachezaji wanapojipanga kuingia uwanjani kabla ya mpira kuanza (namaanisha mpira wa mguu), kamteni wa timu ndiyo utangulia akifuatiwa na mlinda lango (namaanisha goal keeper) na wanaofuatia nyuma amna mpangilio maalum.

Iwapo team kapteni ni mlinda lango, ndiye atakaetangulia na wanaofuatia nyuma yake sijaona utaratibu wowote ukitumika, sasa naomba kwa wanaojua sheria za mpira wa mguu...je ni sheria au ni nini kinatokea kwani ni muda mrefu hua nafuatilia jambo hili.
Angalia baadhi yapicha.

 
Ila kwa golikipa si lazima awe wa pili namuonaga mara kibao bravo kipa wa barca anakuwaga katikati
 
Kwa golikipa kuwa wa pili baada ya mchezaji wa kwanza sina uhakika km ni sheria au vp, ila linapokuja swala la captain ni lazima awe wa kwanza kuingia uwanjani, so km itatokea captain amechelewa labda ile second half lazima wachezaji wenzie wamsubili hadi aanze yeye kutoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…