Jumanne Mwita
JF-Expert Member
- Nov 18, 2014
- 530
- 1,446
Wanaohakiki Korosho wanawaambia wakulima waonyeshe mashamba + hati za umiliki wa mashamba hayo, wakishindwa kufanya hivyo korosho zinachukuliwa na Serikali na hawalipwi hata senti
Hiv huko vijijin ni Watanzania wangapi ambao wanahati za umiliki wa mashamba??
Hiv huko vijijin ni Watanzania wangapi ambao wanahati za umiliki wa mashamba??