Huu ni ufisadi kama ufisadi mwingine

Huu ni ufisadi kama ufisadi mwingine

Subira the princess

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2018
Posts
3,474
Reaction score
3,744
Wasalaam.

Kuna taarifa kwamba ccm wamechukua baadhi ya mabasi ya yutong yalioagizwa kwa ajili ya jeshi la Tanzania na kuyapaka rangi ya kijani na kuwa mali ya ccm. Huu ni wizi km wizi mwingine ambao ccm wamekua wakiibia taifa hili. Pia wameenda mbali na kupora baadhi ya pikipiki za misafara na kuzibadilisha kuwa mali ya ccm.

Ikumbukwe kwamba ccm walishapora viwanja vyote vya umma kama vile kirumba, tabora, jamhuri, arusha, singinda n.k na kuvigeuza mali ya ccm. Ccm ni wizi tu jana leo na kesho
 
Kama wameweza kupora madaraka na haki msingi za raia vitu vidogo namna hio washindwe kweli.
 
Wasalaam.

Kuna taarifa kwamba ccm wamechukua baadhi ya mabasi ya yutong yalioagizwa kwa ajili ya jeshi la Tanzania na kuyapaka rangi ya kijani na kuwa mali ya ccm. Huu ni wizi km wizi mwingine ambao ccm wamekua wakiibia taifa hili. Pia wameenda mbali na kupora baadhi ya pikipiki za misafara na kuzibadilisha kuwa mali ya ccm.

Ikumbukwe kwamba ccm walishapora viwanja vyote vya umma kama vile kirumba, tabora, jamhuri, arusha, singinda n.k na kuvigeuza mali ya ccm. Ccm ni wizi tu jana leo na kesho
Duuh haya kesho maandamano vikakombolewe!
 
Wasalaam.

Kuna taarifa kwamba ccm wamechukua baadhi ya mabasi ya yutong yalioagizwa kwa ajili ya jeshi la Tanzania na kuyapaka rangi ya kijani na kuwa mali ya ccm. Huu ni wizi km wizi mwingine ambao ccm wamekua wakiibia taifa hili. Pia wameenda mbali na kupora baadhi ya pikipiki za misafara na kuzibadilisha kuwa mali ya ccm.

Ikumbukwe kwamba ccm walishapora viwanja vyote vya umma kama vile kirumba, tabora, jamhuri, arusha, singinda n.k na kuvigeuza mali ya ccm. Ccm ni wizi tu jana leo na kesho
Majambawazi sana!
 
Wasalaam.

Kuna taarifa kwamba ccm wamechukua baadhi ya mabasi ya yutong yalioagizwa kwa ajili ya jeshi la Tanzania na kuyapaka rangi ya kijani na kuwa mali ya ccm. Huu ni wizi km wizi mwingine ambao ccm wamekua wakiibia taifa hili. Pia wameenda mbali na kupora baadhi ya pikipiki za misafara na kuzibadilisha kuwa mali ya ccm.

Ikumbukwe kwamba ccm walishapora viwanja vyote vya umma kama vile kirumba, tabora, jamhuri, arusha, singinda n.k na kuvigeuza mali ya ccm. Ccm ni wizi tu jana leo na kesho
Mkiambiwa mkathibitishe mtaweza?
 
Wasalaam.

Kuna taarifa kwamba ccm wamechukua baadhi ya mabasi ya yutong yalioagizwa kwa ajili ya jeshi la Tanzania na kuyapaka rangi ya kijani na kuwa mali ya ccm. Huu ni wizi km wizi mwingine ambao ccm wamekua wakiibia taifa hili. Pia wameenda mbali na kupora baadhi ya pikipiki za misafara na kuzibadilisha kuwa mali ya ccm.

Ikumbukwe kwamba ccm walishapora viwanja vyote vya umma kama vile kirumba, tabora, jamhuri, arusha, singinda n.k na kuvigeuza mali ya ccm. Ccm ni wizi tu jana leo na kesho
Weka hapa risiti ya kununulia hayo mabasi au mkataba wa Yutong na Jeshi. Otherwise utakuwa umeleta story za vijiweni tu za watu majobless
 
hayo mabasi kama yameenda ccm mnapaswa kujua hio ni amri ya mkuu mwenye kiti chake..nadhani sote tunajua nguvu ya mkuu haihojiwi
 
Wabadilishe tu hata sare za hilo jeshi ili ziwe za kijani na njano. No way out.
 
Back
Top Bottom