ummu kulthum
JF-Expert Member
- Feb 6, 2012
- 2,784
- 1,317
ndugu yangu anamatatizo ya kuanguka/kuzimia pale tu anapoona maiti na akilia kwa sauti ghafla anajikuta analegea na kuanguka, kwa madai yake anasema wakati anaanguka huwa anajijua lakin anashidwa kujizuia na wanaompa huduma ya kwanza huwa anawasikia kwa mbali sana lakin kujibu anashidwa na nguvu hana kabisa!!.
chanzo cha tatizo;
ilikuwa ni usiku wa manane akaota mama yake alikuwa mgojwa amefariki na siku 3 kabda ya kuota mkono wa kulia ulikuwa unamuuma sana bila sababu yeyote na ukawa haunyooki kabisa.katika ndoto hizo akaota amefariki na analia sana mpaka anazimia na kubebwa na watu na ni kweli baada ya siku tatu ndicho kilichotokea.
mama yake akawa amefariki R.l.P.
sasa hicho kitu huwa kinajirudia akiwa ameenda msibani akiona tu maiti lazima azimie je hii kitu inasababishwa na nini?
wadau kama mtu anajua tiba atujuze kwani hali ni mbaya af huwa anashtuka shtuka kwa mfano akiwa chumbani ukifungua mlango kwa haraka anashtuka sana hadi unamuonea huruma.
chanzo cha tatizo;
ilikuwa ni usiku wa manane akaota mama yake alikuwa mgojwa amefariki na siku 3 kabda ya kuota mkono wa kulia ulikuwa unamuuma sana bila sababu yeyote na ukawa haunyooki kabisa.katika ndoto hizo akaota amefariki na analia sana mpaka anazimia na kubebwa na watu na ni kweli baada ya siku tatu ndicho kilichotokea.
mama yake akawa amefariki R.l.P.
sasa hicho kitu huwa kinajirudia akiwa ameenda msibani akiona tu maiti lazima azimie je hii kitu inasababishwa na nini?
wadau kama mtu anajua tiba atujuze kwani hali ni mbaya af huwa anashtuka shtuka kwa mfano akiwa chumbani ukifungua mlango kwa haraka anashtuka sana hadi unamuonea huruma.