Wamekosa madini muhimu mwilini kama calcium ambayo hupatikana kwenye dagaa, konokono au uduvi, hakikisha chakula chao unachanganya DCP, mifupa na chokaa.
Kwa kuwaokoa na wengine kwa haraka tumia DCP kwenye maji ya kunywa na nyingine changanya kwenye chakula kwa uwiano ulio sahihi, usichakachue au simamia mwenyewe usimpe mtu kuandaa chakula ukiwa haupo.