Wanajf ninaomba msaada kuhusu ugonjwa huu wa vifaranga vya kuku! Kwenye sehemu ya haja kubwa anatoa kinyesi laini mithili ya mapovu! Mwishowe mapovu hayo hukauka na kuwa magumu mwishowe vifaranga hudondoka na kuiaga dunia!
Mwenye uelewa anisaidie, huo ni ugonjwa gani, unatibiwaje! MSAADA WA HARAKA PLEASE MAANA VIFARANGA VINAISHA!
MAELEZO MENGINE YAPO KWENYE PICHA HAPA CHINI👇
Mwenye uelewa anisaidie, huo ni ugonjwa gani, unatibiwaje! MSAADA WA HARAKA PLEASE MAANA VIFARANGA VINAISHA!
MAELEZO MENGINE YAPO KWENYE PICHA HAPA CHINI👇