Huu ni ugonjwa gani?

Nenda mkampime HIV Test kwanza then muangalie na vipimo vingine ikiwezekana amuone daktar kabisa
 
Sawa asante....umenisaidia sana huenda akawa na kitu kikubwa kinamsumbua ntfanya hivyo
 
Ni msongo wa mawazo kutokana na kutofikia mipango yake ya kimaisha
Anaitaji muda mwingi wa kulala ili kupumzisha ubongo maana ana dalili za kukosa usingizi kabisa. Huyo
 
Ni msongo wa mawazo kutokana na kutofikia mipango yake ya kimaisha
Anaitaji muda mwingi wa kulala ili kupumzisha ubongo maana ana dalili za kukosa usingizi kabisa. Huyo
hamna dawa za hospitali za kumtibia
 
hamna dawa za hospitali za kumtibia

Hazitibu ila zitamfanya awe na mida mwingi wa kulala na ndo kati ya vitu vinavyompelekea mtu atumie vilevi kwa kupitiliza au kuwa mtumiaji madawa ya kulevya kabisa
Dawa ni moja tu Kuongeza juhudi za ufanikishaji wa maisha yake na kukubaliana na matokeo pale mambo yanapokwebda vili ambavyo hakutaraji yaaan akubaliane na changamoto na kujipa mida wa kutafuta njia muafaka ya kujitoa alipo
 
Sawa asante sana
 
Sawa asante sana

Karibu sana na kama kuna uwezekano na jamaa hajafikia hali mbaya mimi nawezampatia ushauri ili kuweka msawazo wa hizo hali kabla haijafikia hatua yakutotambua mambo na kutosikiliza kitu chochote
 
Karibu sana na kama kuna uwezekano na jamaa hajafikia hali mbaya mimi nawezampatia ushauri ili kuweka msawazo wa hizo hali kabla haijafikia hatua yakutotambua mambo na kutosikiliza kitu chochote
Sawa mkuu nitakuja pm
 
Pole sana Na mpe pole huyo Dada ,pia kumbuka kumtia moyo kumpa.ushauri wa kupumzika Na kufanya yale anayoyapenda,jitahidi kuwa nae karibu sana toa muda wako mwingi ikiwezekana kuwa naye,mshauri.kuhusu kufanya ibada kwa imani yake,anywe maji mengi.

Unapoamua kuongea nae kuhusu kupima Afya uwe mwangalifu sana tumia lugha itakayomfanya aone umuhimu wa kupima sio kama unahisi chochote...Mungu awasaidie,maana kwa Mungu hakuna linakoshindikana.
 
nimeshamuuliza na amenambia lakin bado anawaza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…