Huu ni ugonjwa gani?

alikua anampenda sana huyo bwana tatizo bwana kampenda mchepuko sasa anawaza mambo ya kujinga nilimwambia acha anasema yanamjia yenyewe
anahitaji ushauri nasaha ili akubaliane na hali
halafu inabidi apate bwana anaemjali sana atamsahau tu
 
depreesion - AMTAFUTE COINCELLOR
AU MAJINI - AKAOMBEWE
 
Asante sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…