Kashishi yetu
JF-Expert Member
- Mar 22, 2014
- 3,509
- 3,741
Ugonjwa huu upo sehemu za siri huwa unawasha ukijikuna baada ya muda kidogo unapata naumivu makali, Ngozi ya korodani kuna wakati inakakamaa na kutoa magamba yaani kama nyoka anavyojitoa gamba na yenyewe inakuwa hivyo hivyo.
Nimezunguka hospitality Dawa nyingi nimetumia bila kupona, Dawa nilizotumia zipo za vidongo na za kupaka ambazo ni hizi hapa 1,Cephalexi-250m 2, Alerid, 3, Algic P. 4, Ampiclox. 5, Prednisolone. 6, GentrisoneCream. 7, VClotrimazole Cream. 8, Gentalane Cream , 9, Dermaquat Cream, 10. Candistat. 11. Terbifin-25 12,Flucan, 13 na Grencet.
Dawa zote hizo nimetumia lakini bado, Huu ni mwezi wa nne tatizo lianze, Madaktari wa ngozi tofauti tofauti nimewaona ndo walikuwa wakiniandikia hizo Dawa, Sasa mwenye kujua huu ugonjwa na tiba Yake anielekeze, Ahsanteni
Nimezunguka hospitality Dawa nyingi nimetumia bila kupona, Dawa nilizotumia zipo za vidongo na za kupaka ambazo ni hizi hapa 1,Cephalexi-250m 2, Alerid, 3, Algic P. 4, Ampiclox. 5, Prednisolone. 6, GentrisoneCream. 7, VClotrimazole Cream. 8, Gentalane Cream , 9, Dermaquat Cream, 10. Candistat. 11. Terbifin-25 12,Flucan, 13 na Grencet.
Dawa zote hizo nimetumia lakini bado, Huu ni mwezi wa nne tatizo lianze, Madaktari wa ngozi tofauti tofauti nimewaona ndo walikuwa wakiniandikia hizo Dawa, Sasa mwenye kujua huu ugonjwa na tiba Yake anielekeze, Ahsanteni