Wakuchanja
Member
- Oct 12, 2017
- 82
- 54
Hili linaweza kuwa ni tatizo gani? Ama ni ugonjwa upi na unatiba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru mkuuHapo lazima ulipita kwenye upupu nenda hospital
Sawa mkuuGenital warts, nenda hospitali!
Genital wartsHili linaweza kuwa ni tatizo gani? Ama ni ugonjwa upi na unatiba?
View attachment 806752
Mdomo wangu umebaki wazi...hatarr sanaa[emoji15][emoji15][emoji15]Duhhh.....[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Mungu anisaidie nibaki na comments yangu kifuani na nikae kimya tu aiseeeee...
[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
Naogopa kusema neno mkuu, maana sitaki kutukana mamba na nikingali sijavuka mto wallahMdomo wangu umebaki wazi...hatarr sanaa[emoji15][emoji15][emoji15]
Na kweli,.bora kunyamaza tuu. [emoji40]Naogopa kusema neno mkuu, maana sitaki kutukana mamba na nikingali sijavuka mto wallah
[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]Na kweli,.bora kunyamaza tuu. [emoji40]
[emoji467][emoji467][emoji467][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
Kapime ngoma mkuu,aka upupu,aka miwaya,aka umeme,aka ulimbo,aka ugonjwa wa kisasaHili linaweza kuwa ni tatizo gani? Ama ni ugonjwa upi na unatiba?
View attachment 806752
Ngoma sina aseeKapime ngoma mkuu,aka upupu,aka miwaya,aka umeme,aka ulimbo,aka ugonjwa wa kisasa
Hongera sana mkuu,Ngoma sina asee
Mkuu, naona unaelekea kibka kabisaaaa wallah.....[emoji29] [emoji24]Hili linaweza kuwa ni tatizo gani? Ama ni ugonjwa upi na unatiba?
View attachment 806752