Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Mkuu, magonjwa mengine isingekuepo Jf bora kufa kiume tu with dignity[emoji23]hhhaaaahhahahahhahaaaaaaaaaaaaaaaaa
Hahahah, masitaburesheni [emoji125] [emoji125] [emoji125]Wenye tabia mbaya watakatumia kwenye mambo yao
Alafu kitu bado safi kabisa,hapo tatizo ni hiyo warts tu,ukiitibu hiyo alafu ukanyoa hayo manywele itakua poa sanaHabari wadau ! Nina sumbuliwa na vijipele kama hivo kwenye sehem ya haja kubwa madaktar wa humu naomba mnisaidie dawa au ushauri manake haviumi ila kuna muda vinawasha tu ! Msaada tafadhali mficha maradhi kifo humuumbua !
Kwanin walikaataa kabla hajavua nguomkuu pole sana hiyo ni warts na dawa yake kama sikosei ni dosal kuna rafiki yangu mmoja ulishampataga tulipataga dawa pale hindu mandal hosp.lakini haikuwa rahisi kuzipata maana madaktari walikataa ikabid jamaa avuwe nguo ainame awaonyeshe ndo wakakubali kutupatia hizo dawa.
Mkuu acha tabia mbaya[emoji23] umemtamani mchiziAlafu kitu bado safi kabisa,hapo tatizo ni hiyo warts tu,ukiitibu hiyo alafu ukanyoa hayo manywele itakua poa sana
Kwa nini wanakataa kutoa hiyo dawa kirahisi?mkuu pole sana hiyo ni warts na dawa yake kama sikosei ni dosal kuna rafiki yangu mmoja ulishampataga tulipataga dawa pale hindu mandal hosp.lakini haikuwa rahisi kuzipata maana madaktari walikataa ikabid jamaa avuwe nguo ainame awaonyeshe ndo wakakubali kutupatia hizo dawa.
[emoji23][emoji23][emoji23]Duuuh. Mkuu pakaga mafuta hata makalio. Kalio gumu kama gome la mwembe.
Mengineyo ngoja wausika waje.
sure...unaeza usile sku nzima[emoji26]Doh aise ungeandika onyo hapo kwenye heading.. Mana picha hiyo inadisturb kiukweli
Mwanaume bize unaweka mafuta kiganjan unasugua then unayasweka matakon... DohDuuuh. Mkuu pakaga mafuta hata makalio. Kalio gumu kama gome la mwembe.
Mengineyo ngoja wausika waje.
bawasili haina vipele vya hivyo!Bawasili ndio jina la huo ugojnwa wako
kivipi?Kwani hawezi kuwa kaambukizwa na mwanmme?