Huu ni ugonjwa gani?

SG8

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2009
Posts
3,955
Reaction score
2,133
-Tumbo linaunguruma kwa mbali
-Mkojo wa njano iliyopitiliza, hata gizani rangi inaonekana hata ukinywa maji mengi
-Miguu inavimba hasa mchana na jioni kwenye misuli ya chini ya magoti na enka kwa kipindi cha miezi kama minne hivi
-Choo kinakuwa na kamasi baadhi ya siku na siku nyingine damu kidogo
-Wakati wa kukojoa kuna maumivu kwenye njia ya mkojo mpaka kwenye kitovu yaani inakuwa kama inavuta hivi
- Usingizi uliopitiliza hasa wakati wa mchana ukiambatana na macho kuwasha
-Kukosekana kwa hamu ya kula chakula
-Joto kupanda mara kwa mara ikiambatana na maumivu ya kichwa
-Maumivu ya mwili na uchovu kiujumla.
Muhimbili, Regency na Mikocheki (Kwa Kairuki) wanasema hakuna tatizo lolote baada ya kupima damu (Full Blood Account), Choo na mkojo pamoja na Ultra Sound.
Je, huu ni ugonjwa gani? Hospitali ipi au Daktari gani anaweza kutoa suluhu ya matatizo haya?
-
 
Duh!pole sana,jaribu tena kucheck na hospital nyingine.
 
Reactions: SG8
1. Tumbo kuunguruma na kupata choo chenye damu kidogo kapime vidonda vya tumbo (Barium test).
2. Pima wingi wa damu (HB).
3. Pima Uzito na Urefu wako ujue BMI yako.
4. Pima mkojo na choo.
5. Pima figo na Inni
6. Bila kusahau pima HIV and other STDs
 
Reactions: SG8
POLE NDUGU! NI KWELI HILO NI TATIZO NA NI UGONJWA. SURUHISHO LA TATIZO LAKO LAWEZA KUPATIKANA TIENS. wengi wenye tatizo kama lako wamesaidiwa na nimeeleza katika post mbalimbali kama ya mama mmoja aliyekuwa na tatizo la kicha na miguu kuuma sana amaye amefika juzi ofsini na amehudumiwa, pia kuna post ya mwingine ana matatizo ya tumbo na post nyingi mbalimbali.
kwa mfano:
chai ya tiens(TIENS Lipid metabolic management tea) Huponya magonjwa mengi sana mwilini ikiwemo:-
- kusafisha tumbo na kusaidia usagaji wa chakula kusagwa vizuri
- huondoa mafuta mabaya mwilini
- inazuia saratani ya utumbo na magonjwa ya ini
- inaongeza nguvu ya kupigana na magonjwa
- huondoa sumu mwilini
- humaliza pumu na sukari
- huponya vidonda, maumivu ya miguu, na huondoa uchovu
- ni nzuri kwa watu wenye matatizo ya kukosa usingizi, ukimwi, shida za ini, nk

kama uko tayari kwa tiba mbadala, utapimwa hapa ofisini na kupata huduma zingine. waweza kutumia chai ya tiens, , cordecepts, calcium1, zinc nk. zitakusaidia sana na utapona.

WAWEZA WASILIANA NAMI KWA MAELEZO ZAIDI KWA KUNITUMIA UJUMBE PRIVATELY AU KWA:-
NTAKI RUHAZWE
TIENS HEALTH CONSULTANT AND DISTRIBUTOR
TEL NO. +255755569494
E-mail: ruhazwentaki@yahoo.com, ruhazwentaki@gmail.com
or visit: http://www.tiens.com, http://www.aftiens.com
 

TFDA na TBS wanawatambua?
 
uwezo wa mwanadamu unapoishia ndipo wa Mungu huanzia,nakushauri nenda kanisani kaombewe,utapona
 
Reactions: SG8
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…