Huu ni ugonjwa gani?

kingfish

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2011
Posts
571
Reaction score
159
Nini husababisha mwanaume kukojoa usaha na damu?
 
Nini husababisha mwanaume kukojoa usaha na damu?
Kinachosababishwa Mwanamme kutokwa na usaha na damu ni Maradhi ya Zinaa Mkuu kingfish nenda haraka ukajitibie na mwenzi wako Hospitalini huenda una Maradhi ya aina mbili ya kwanza ni Kisonono kutokwa na usha sehemu zako za siri na ya pili ni Ugonjwa wa kukojoa damu (Hematuria).
 
Gono hilo baba.
Wahi hospitali na usimsahau mhanga mwenzio. Upimw na hiv manake hao ni mapacha.
 
 
Gono hilo baba.
Wahi hospitali na usimsahau mhanga mwenzio. Upimw na hiv manake hao ni mapacha.
HAHAHAAA! SINA UGONJWA HUO ILA KUNA JAMAA YANGU ANA TATIZO HILO,USHAURI ULIONIPA NITAMWAMBIA
 
Sasa hata kama sio wewe ni lazima useme, we ungekausha tu. Mbona umeuliza vizuri tu, we ungewapotezea tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…