Huu ni uharibifu wa magari na pia inapunguza sana thamani ya Gari. Acheni kufanya hivi.

Huu ni uharibifu wa magari na pia inapunguza sana thamani ya Gari. Acheni kufanya hivi.

Bill Lugano

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
1,189
Reaction score
6,450
Nmeona gari nyingi sana zikepigwa misumali flani hivi ya silver milangoni,madirishani na sehemu mbalimbali za gari. Sijaelewa huu ni urembo wa aina gani. Nmeuliza nimeambiwa mnaita "libiti"

Pia hata wengine wanachora chora namba kwenye vioo.najiuliza why uharibu gari kwa vitu vya hovyo tu?yaani hufahamu namba yako ya gari mpaka uichore kila sehem ya gari?

Au ni matangazo kwa watu waifanamu namba ya gari lako? Haya mambo yanapunguza sana thamani ya gari au chombo chako cha usafiri.

Mimi gari zangu zote sijafanya all of them.likiwepo suala la kubandika kibati kwenye side mirrors.nacho huwa sion kinapendezesha nini.

Hivi Mjerumani,Muingereza,Mfaransa, Muitaliano,Mmarekani aone ambacho mmefanya kwenye haya magari si atafeel so bad? Ni uharibifu mkubwa sana wa magari. Huu utamaduni uachwe watanzania. Ukienda Ulaya na Marekani hukuti vitu kama hivyo.

Mimi kwa mara ya kwanza ndo nmekuja kuta nchini nlishangaa sana.
 
Nmeona gari nyingi sana zikepigwa misumali flani hivi ya silver milangoni,madirishani na sehemu mbalimbali za gari. Sijaelewa huu ni urembo wa aina gani. Nmeuliza nimeambiwa mnaita "libiti"

Pia hata wengine wanachora chora namba kwenye vioo.najiuliza why uharibu gari kwa vitu vya hovyo tu?yaani hufahamu namba yako ya gari mpaka uichore kila sehem ya gari?

Au ni matangazo kwa watu waifanamu namba ya gari lako? Haya mambo yanapunguza sana thamani ya gari au chombo chako cha usafiri.

Mimi gari zangu zote sijafanya all of them.likiwepo suala la kubandika kibati kwenye side mirrors.nacho huwa sion kinapendezesha nini.

Hivi Mjerumani,Muingereza,Mfaransa, Muitaliano,Mmarekani aone ambacho mmefanya kwenye haya magari si atafeel so bad? Ni uharibifu mkubwa sana wa magari. Huu utamaduni uachwe watanzania. Ukienda Ulaya na Marekani hukuti vitu kama hivyo.

Mimi kwa mara ya kwanza ndo nmekuja kuta nchini nlishangaa sana.
Bila picha hatukuelewi au una zungumzia magari ya security /walinzi
 
Kumbe wewe ni mgeni??? Hakuna anayependa kufanya hivyo gari lake. Tatizo hili liko sana DSM kuliko mikoani. Side mirow inaibiwa ukiangalia... uko kwenye foleni anakuja kibaka anakivuta kioo na kuondoka nacho huku ukiangalia!!! binafsi lilishawahi nikuta hili jambo. Unapaki gari anapita kibaka anavuta raba na kutoa kioo, taa na vingine vinavyowezekana! Hiyo ndio sababu ya ribit kwenye magari mengi.
Kibaka akikuta kioo cha gari kimechorwa anasita kukiiba maana hakiuziki kirahisi anaogopa kukutwa nacho!
 
Nmeona gari nyingi sana zikepigwa misumali flani hivi ya silver milangoni,madirishani na sehemu mbalimbali za gari. Sijaelewa huu ni urembo wa aina gani. Nmeuliza nimeambiwa mnaita "libiti"

Pia hata wengine wanachora chora namba kwenye vioo.najiuliza why uharibu gari kwa vitu vya hovyo tu?yaani hufahamu namba yako ya gari mpaka uichore kila sehem ya gari?

Au ni matangazo kwa watu waifanamu namba ya gari lako? Haya mambo yanapunguza sana thamani ya gari au chombo chako cha usafiri.

Mimi gari zangu zote sijafanya all of them.likiwepo suala la kubandika kibati kwenye side mirrors.nacho huwa sion kinapendezesha nini.

Hivi Mjerumani,Muingereza,Mfaransa, Muitaliano,Mmarekani aone ambacho mmefanya kwenye haya magari si atafeel so bad? Ni uharibifu mkubwa sana wa magari. Huu utamaduni uachwe watanzania. Ukienda Ulaya na Marekani hukuti vitu kama hivyo.

Mimi kwa mara ya kwanza ndo nmekuja kuta nchini nlishangaa sana.
Kumbe kidukilo! Kwetu kidukilo maana yake ni mtoto wa malaya
 
Kiduku habari za uropa,ile gari yako inayogonga chini ulifanikiwa kupata Fundi?.
 
Siku wakikuibia side mirror au logo ya gari ndipo utajua hizo revert ni za hovyo au si za hovyo
 
Inaonekana ww huna gari au kama unalo basi unaendeshea huko kijijini kwenu sio mjini
 
Hizo viti zote unazosema zinawekwa kwaajiri ya ulinzi kuzuia watu kuiba hivyo vifaa.
 
Back
Top Bottom