Huu ni ujanja au ushamba?

Huu ni ujanja au ushamba?

Half american

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
38,283
Reaction score
97,793
Hivi mtu unatokaje huna hata mia? Aibu nyingine zinaepukika kuwa na akiba ya hela yako binafsi ni muhimu sana. Hii inawakumba sana Ke wengi.
Back up plan ni muhimu sana.
FB_IMG_17133327101111109.jpg
FB_IMG_17133327124111927.jpg
FB_IMG_17133327147719044.jpg
FB_IMG_17133327193897622.jpg
FB_IMG_17133327216610855.jpg
FB_IMG_17133327239431299.jpg
FB_IMG_17133327284890766.jpg
FB_IMG_17133327307827029.jpg
FB_IMG_17133327329197260.jpg
FB_IMG_17133327352625605.jpg
FB_IMG_17133327376924144.jpg
FB_IMG_17133327400935974.jpg
FB_IMG_17133327424642406.jpg
 
Mi Huwa nawaambia vijana hasa wa kike!

Kwenye maisha waache kuwapa wengine dhamana ya maisha yao!!yaani waache kubweteka wakijua Kuna mtu fulani atabeba dhamana ya maisha yake!!

Sisi hatupendi kubeba Dem ambae Hana Cha maana Cha ku offer zaidi ya uchi wake,was aina hiyo tunajua ana bei yake no Bora akajiuze tujue ni kahaba!!

Tunapenda ke anaetupa changamoto za kiuchumi na future hata ukizaa name unajua totoz zipo kwenye safe hands!!

Hata akiwa Hana kazi lazima nimtafutie Cha kufanya hata kiduka atauza ajue mzunguko wa uchumi upoje!

Akizingua baada ya kujipata unatafuta mwingine!simple tu!!
 
😂😂😂 jamaa kala kona kali...

Kama kuna Ke huwa anabeba akiba akienda kukutana mahali na Me basi ni 1 kati ya 10.
Na huyo mmoja ni yule anaeenda kukutana na Me ambae hawafahamiani kabisa.

Wengi hujipeleka kama mbuzi machinjioni.
 
Epuka kausha damu.
Wamekaushwa wao 😂
tujenge jamii isio tegemezi.... malezi ni jambo la msingi sana kufundisha watoto kula au kutumia wanachoweza lipia kiufupi kukaa ndani ya uwezo wako......... na hii sio kwa wanawake tu hata vijana wengi wanapenda kitonga
Sahihi sana mkuu, imagine hao watu wazima wawili wameshindwa kuafford walichokula, ni aibu na hii ipo sana kwenye jamii zetu.
 
Akiba ya Nini wkt Mtaji anatembea nao popote alipo?
walipe sasa kama ni hvyo
Msera kawaacha solemba ....kala bata kaona bill ni kubwa kasepa🤣🤣🤣
😂 kawaachia msala wapambane na walichokula.
Kausha damu ni ushamba, tho walitakiw kuagiz the same na anaelipa hata kama si kinachafana lakini bei ilingane.

Mwanaume unatokaje nje ya bajeti kwasababu ya kausha damu, Mwamba kaupiga mwingi .
Walitaka kula wakitakacho bila kujali cost. Imewagharimu.

Hakuna kutoka nje ya bajeti kizembe bila mpangilio.
 
Back
Top Bottom