Huu ni ujinga!

James St. Patrick

Senior Member
Joined
Jun 23, 2011
Posts
167
Reaction score
66
kwanza naomba mniwie radhi, sikupenda kuandika hili ila imenilazimu! Kuna mwana jf mmoja kaweka link ya selection za tcu za mwaka jana anadai za mwaka huu! Huu ni ujinga kabisa kama huna cha kuandika ni bora kabisa ukiacha! Ukigoogle utampata huyo jamaa! Madogo wanasubiri matokeo yao kwa ham halafu mjinga anaandika pumba! F**k *!
 
Nakuunga mkono, lakini kutukana sio vizuri maana unapowasilisha mambo ya maana haitakiwa kufanya ujinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…