kalagabaho
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,457
- 5,893
View attachment 355779
Wanajamvi naomba tusaidiane hapa maana labda umaskini wangu ndo unafanya nishangae
Man fongo...jamaa yake Msaga sumuKwan Huyo ni nani
Kama hela ni zake sioni tatizo.
Nope, ni tshs 80,000,000/=Mbona kawaida hiyo mkuu
Zitakuwa mil100
Wakikupa jibu naomba utani mention nione!Huyu dogo gani?..
Ha ha ha haya mkuu.Wakikupa jibu naomba utani mention nione!
Nonsense.View attachment 355779
Wanajamvi naomba tusaidiane hapa maana labda umaskini wangu ndo unafanya nishangae
Raymond wa Diamond wcbHuyu dogo gani?..
Huyo ni RAYMOND msanii wa WCB, na hapo yupo na mihela ya bosi wake.Kwan Huyo ni nani
Kwa hiyoo??Halaf hii picha toka juz inazunguka fb
Sio ulimbukeni, Fight ulipize mkuu. Wapiganaji wote wapo hivyo...massanja, diamond, mayweather, 50, rich kids of insta, ma tycoon wa uarabuni, ma oligarch wa russia, ma tycoon wa china, abramovich ana yatch ya nguvu...View attachment 355779
Wanajamvi naomba tusaidiane hapa maana labda umaskini wangu ndo unafanya nishangae
Mtu yuko chumbani mwake anahesabu jasho lake, tatizo nini? Angefanya hivyo hadharani ningekuwa na la kusema.View attachment 355779
Wanajamvi naomba tusaidiane hapa maana labda umaskini wangu ndo unafanya nishangae