Huu ni unyama au ulimbukeni au ni nini ndugu zanguni???

Na si tu alimgharamia kila kitu ili kuhudhuria hiyo harusi,bali waliagana kwa sana kabla ya tarehe ya harusi na baada ya harusi hiyo wataendelea kwa sana,ndo mwendo wetu waswahili-extended affair,karibu
 
Charminggirl sina nia ya kuichakachua thread yako lakini kuna moja naifahamu ex jamaa alimuandalia meza mbele kabisa siku ya harusi yake na hata vyumba walivyolala baada ya harusi vilipakana hii ilitokea tarime huko,saa nyingine nyie akina dada ndio wa kulaumiwa mnakubali kutumika sana
 
We chaming sikia....Kuwa na mwanaume mmoja kujidai wa kwako pekeako ni UFISADI lazima uwaachie na wenzio...so hakuna baya hapo.:israel::loco:
 
sasa yeye fatu alivomuona jamila yuko bize mstari wa mbele anapiga picha hakuuliza huyu mtu ni nani wakati yeye fatu hamjui...dah jamani siku hizi watu tunaibiwa hivi hivi kwa macho yetu mchana kweeuuuppeeeee

kwa mujibu wa jamila, fatu alitambulishwa kwa jamila kuwa ni rafiki wa kawaida na wanatoka sehemu moja yaan mkoa mmoja na Juma ambapo ndipo anafanyia kazi. Kumbuka kuwa Fatu alikuwa akifanya kazi mkoa tofauti na Juma.... Yan full kuibiwa ndugu yangu. Cpati picha Fatu akija kugundua kuwa mwizi wake ni yuleeeee aliyekuwa mstari mbele siku ya harusi....
 
We chaming sikia....Kuwa na mwanaume mmoja kujidai wa kwako pekeako ni UFISADI lazima uwaachie na wenzio...so hakuna baya hapo.:israel::loco:


Tanzania we share!!!!!!!! hahahaaaaaaaaaa
 
Wanaosema Poa! Wanapenda Mapenzi ya Kushare... ukimuudhi tu Anamcall Jamila hahahahaha

Sidhani kama kuna penzi la kushare hapo, Jamila ni cameralady tu, inaonekana Juma anamwaminia kwa kutoa picha shwariiiiiiiiiiiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…