Huu ni ushamba wangu, ama?

Huu ni ushamba wangu, ama?

kindikinyer leborosier

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2018
Posts
456
Reaction score
833
Amani iwe nanyi!

Ndugu zangu kuna hivi vihereni vya puani, dah yaani mdada akivaa nakosa kabisa ile kuvutiwa kukaa nae hata kupiga story tuu, yaani akinipikia naweza kabisa nisile alichokipika, kuna mama nilikua mteja wake mzuri sana wa chakula chake, kuna binti mzuri tuu alimleta, aisee akaja kutoboa pua, nimeshindwa kabisa kufika pale, au nina tatizo binafsi 😂😂,

Wadada hua mnafurahia urembo huu?

1625219377233.png

1625219601746.png

1625219652247.png
 
Kutoboa pua ina uhusiano gani na msosi uliokuwa unaupenda sasa huupendi tena kisa kuna mhudumu katoboa pua? [emoji15][emoji15][emoji15]
Alikua hana hela au laa alikua anakopa kwa mama ntilie alivokuja beki tatu mpya kashindwa jinsi ya kumuingia kumkopa
 
amani iwe nanyi!
.
ndugu zangu kuna hivi vihereni vya puani, dah yaan mdada akivaa nakosa kabisa ile kuvutiwa kukaa nae hata kupiga story tuu, yaan akinipikia naweza kabisa nisile alichokipika, kuna mama nilikua mteja wake mzuri sana wa chakula chake, kuna binti mzuri tuu alimleta, aisee akaja kutoboa pua, nimeshindwa kabisa kufika pale, au nina tatizo binafsi [emoji23][emoji23],
.
.
wadada hua mnafurahia urembo huu?
Siyo kila kitu lazima ukielewe vingine acha vikupite tu, acha watoboe pua zao maadam hazikuzuii kuishi maisha yako.
 
Siku hizi kila sehemu ya mwili wa mwanamke inahitaji hela.

Kichwa = kusuka.
Vidole = pete.
Kucha = rangi/kucha za bandia.
Kiuno = shanga/cheni.
Mdomo = kuna rangi zake.
Macho = viini vya machoni.
Sikio = hereni.
Pua = kipini.
Chakula cha mtoto = sidilia.

Duh! Hadi nimechoka.
 
Mtoboa pua huwa namuona yupo sawa na mvaa kikuku.

Kwa kweli hivi vitu nikimuona mwanamke yeyote yule kavaa kichwa changu kinasema huyo ni malaya.
 
Mimi hadi hzo picha zimenichefua.

Yaani sipendi hizo takataka na nikimuona nazo mwanamke huyo kwangu hana bahati kabisa maana hata kumuangalia sitarudia tenaa!!
 
Siku hizi kila sehemu ya mwili wa mwanamke inahitaji hela.

Kichwa = kusuka.
Vidole = pete.
Kucha = rangi/kucha za bandia.
Kiuno = shanga/cheni.
Mdomo = kuna rangi zake.
Macho = viini vya machoni.
Sikio = hereni.
Pua = kipini.
Chakula cha mtoto = sidilia.

Duh! Hadi nimechoka.
Mkono = Bangil
Mguu = Kikuku
Shingo = Mkufu
Duh kweli mkuu hadi inachosha
 
Pole sana, ni urembo wa kawaida sana hauna shida...
 
Back
Top Bottom