Kuna vitu vingine sio hata vya kujiuliza unapuuzia tu maana unaona kabisa ni utapeli wa kijinga.
,,,, Kwenye hilo tangazo/ maelekezo ya namna ya kulipia kuna ujinga kama vile .....MUHAMALA,
.............EKA
Watu mna moyo kufuatilia vitu kama hivyo
Tunaelimisha watu mkuu
Mkuu acha kutufanya sisi watoto wadogo, hili ni tangazo lako na unahusika nalo.Wanadai hivyo. Nenda YouTube ni wengi wameka hizo Habari.
Sina ninachokijua kuhusu Hii mishe. Mm mwenyew ni mgeni. Nigoogle nimeenda YouTube na sehem Zote ninazoweza kusearch. Naomba kufahamishishwa kama Unajua kuhusu hizi HabariMkuu acha kutufanya sisi watoto wadogo, hili ni tangazo lako na unahusika nalo