Huu ni Uzembe au ni makosa ya wizara ya elimu?
Baada ya serikali kuwapanga vijana wa kidato cha tano haya yamejitokeza,
1. Watoto wa kiume wamepangwa shule za girls tupu.
2. Majina ya watoto wa kiume kuchanganywa na ya watoto wa kike.
3. Result Slip kuwa na jina tofauti na picha.
Huu ni uzembe ama ni makosa ya kiufundi?