Huu ni waraka wangu kwenu WAPENDANAO

DA cku unanifanyia harambee ya ile thrd yngu niliulza uko mkoa upi hpa tz?hukujbu ukawa BAN ok nambie leo au kma vp ni PM TAFADHALI

pm yako haifanyi kazi au?
 
DA umemwaga point nimekupa zako....
Ni kweli
Dhamira zetu zikiwa hai ni rahisi kusema samahani nimekukosea na mwingine kusema asante nimekusamehe. Nitampata wapi binadamu asiye na makosa... Hakuna. Jibu ni kuwasiliana na kubebana wote kwa upendo.
 
DA umemwaga point nimekupa zako....
Ni kweli
Dhamira zetu zikiwa hai ni rahisi kusema samahani nimekukosea na mwingine kusema asante nimekusamehe. Nitampata wapi binadamu asiye na makosa... Hakuna. Jibu ni kuwasiliana na kubebana wote kwa upendo.

Nimekusoma mkuu. Ila kuna sehemu umeniudhi wewe lakini nimekusamehe kabla hujaomba samahani
 
Nakubaliana na wewe kabisa bila kusameheana familia haziwezi kuendelea kabisa.
Jawabu la Upole hushusha hasira kwa aliye kasirika.
Kuheshimiana na kusikilizana kunatia amani na furaha ndani ya nyumba.
Kwangu huu ujumbe wako ni wa mhimu sana na unaifanya siku yangu nzima ya jtatu kuwa safi na murua kabisa.
 
Asante mallaga cku zote kuteleza ni sehemu ya maisha na ukiona babu&bibi wamezeeshana wamepitia mengi mazuri/mabaya.Tusameheane panapobidi.
 
Asante mallaga cku zote kuteleza ni sehemu ya maisha na ukiona babu&bibi wamezeeshana wamepitia mengi mazuri/mabaya.Tusameheane panapobidi.
 
Asante mallaga cku zote kuteleza ni sehemu ya maisha na ukiona babu&bibi wamezeeshana wamepitia mengi mazuri/mabaya.Tusameheane panapobidi.
 
Jamani wazima leo mungu yu pamoja nasi amina.
 
Kokudo bado unatafuta marafiki?
Afrodenzi marafiki ni sehemu ya maisha ntafurah kama wataongezeka mara dufu.ok ndio bdo natafuta marafiki na itapendeza kama ww utakua mmoja wao.
 
Afrodenzi marafiki ni sehemu ya maisha ntafurah kama wataongezeka mara dufu.ok ndio bdo natafuta marafiki na itapendeza kama ww utakua mmoja wao.

Hahaha lol haya bwana
Nimekuuliza sababu
kuna thread yako nilisomaga
Wakati niko likizo nilicheka sana..
hivi watu wangapi walichangia ile thread?lol
 
Hahaha lol haya bwana
Nimekuuliza sababu
kuna thread yako nilisomaga
Wakati niko likizo nilicheka sana..
hivi watu wangapi walichangia ile thread?lol
Duuh ile ilivunja rekodi kwenye theard yangu.nawashukuruni wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…