Uchaguzi 2020 Huu sasa ni wakati wa 'Kuvumiliana' tu tafadhali kwani wengine 'tumeshavaa' tayari Nguo za 'Kuikampenia' CCM

Uchaguzi 2020 Huu sasa ni wakati wa 'Kuvumiliana' tu tafadhali kwani wengine 'tumeshavaa' tayari Nguo za 'Kuikampenia' CCM

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kuna Watu naona wamehoji sana 'posts' zangu nyingi za Kuanzia Jumamosi iliyopita tu hapa Jamvini ( JamiiForums ) huku wakisema kuwa imekuwaje GENTAMYCINE 'nimebadilika' ghafla. Natoa Jibu la jumla jumla kwani huenda wengi wenu ni Wageni Kwangu. Kuanzia sasa hadi Uchaguzi Mkuu nipo 'Kikampeni' zaidi kupitia Chama changu cha CCM na Mgombea wetu 'Mwamba' Rais Magufuli.

Mimi siyo 'Mpinzani' na haitotokea Maishani mwangu nikawa 'Upinzani' kwani nimezaliwa ndani ya CCM na nitafia ndani ya CCM yangu. Nimemaliza!
 
Tunakujua njaa tu uko kwenye lile group la watu 2000 wa ccm kuwashambulia viongozi wa Chadema, njaa sana wewe


Swissme
 
Ujue nilizoea kipindi hichi ajira zinatangazwa kwa fujo hata tuliokosa miaka hiyo mwaka wa uchaguzi hua mwaka mwema. Ila naona mwaka huu kimya kila nikirefresh ajira portal naona vacancy ya mkurugenzi tu.

Imekuaje tena ndugu?
 
Mimi siyo 'Mpinzani' na haitotokea Maishani mwangu nikawa 'Upinzani' kwani nimezaliwa ndani ya CCM na nitafia ndani ya CCM yangu. Nimemaliza!.


Mkuu ,unge fafanua hapo kwenye hilo Neno nililokoleza wino mwekundu.Una maana ipi hasa ,Sababu umesha wapinga hata walio ndani ya CCM yako na mwisho utajipinga mwenyewe.
 
Kuna Watu naona wamehoji sana 'posts' zangu nyingi za Kuanzia Jumamosi iliyopita tu hapa Jamvini ( JamiiForums ) huku wakisema kuwa imekuwaje GENTAMYCINE 'nimebadilika' ghafla. Natoa Jibu la jumla jumla kwani huenda wengi wenu ni Wageni Kwangu. Kuanzia sasa hadi Uchaguzi Mkuu nipo 'Kikampeni' zaidi kupitia Chama changu cha CCM na Mgombea wetu 'Mwamba' Rais Magufuli.

Mimi siyo 'Mpinzani' na haitotokea Maishani mwangu nikawa 'Upinzani' kwani nimezaliwa ndani ya CCM na nitafia ndani ya CCM yangu. Nimemaliza!
Itatokea tu, maana CCM inakua cha upinzani very soon.
 
Mimi siyo 'Mpinzani' na haitotokea Maishani mwangu nikawa 'Upinzani' kwani nimezaliwa ndani ya CCM na nitafia ndani ya CCM yangu. Nimemaliza!.


Mkuu ,unge fafanua hapo kwenye hilo Neno nililokoleza wino mwekundu.Una maana ipi hasa ,Sababu umesha wapinga hata walio ndani ya CCM yako na mwisho utajipinga mwenyewe.

Sikutegemea Mtu kama Wewe 'Kuniuliza' hili Swali hasa kwakuwa najua jinsi ulivyo na 'IQ' Kubwa mno. Sijui 'Wahuni' wamedukua hii Akaunti yako?
 
Sikutegemea Mtu kama Wewe 'Kuniuliza' hili Swali hasa kwakuwa najua jinsi ulivyo na 'IQ' Kubwa mno. Sijui 'Wahuni' wamedukua hii Akaunti yako?

Sawa Mkuu ,endelea kubaki ndani ya CCM yako .
 
Kuna Watu naona wamehoji sana 'posts' zangu nyingi za Kuanzia Jumamosi iliyopita tu hapa Jamvini ( JamiiForums ) huku wakisema kuwa imekuwaje GENTAMYCINE 'nimebadilika' ghafla. Natoa Jibu la jumla jumla kwani huenda wengi wenu ni Wageni Kwangu. Kuanzia sasa hadi Uchaguzi Mkuu nipo 'Kikampeni' zaidi kupitia Chama changu cha CCM na Mgombea wetu 'Mwamba' Rais Magufuli.

Mimi siyo 'Mpinzani' na haitotokea Maishani mwangu nikawa 'Upinzani' kwani nimezaliwa ndani ya CCM na nitafia ndani ya CCM yangu. Nimemaliza!

Mtani kwani uliwahi kuvua hizo nguo za kijani? Kila siku huwa na hayo mavazi ya kijani, ila kwa mbali huwa unadiriki kuukiri ukweli. Hiyo ndio tofauti yako ndogo sana na hao mboga mboga wengine.
 
Leo yameshakuwa haya? Sawa na je, nilivyokuwa 'naongoza' hapa JF 'Kuisema' CCM yangu na 'Kuibeba' CHADEMA yako Mbowe na Lissu walinilipa?
Genta. aka popoma nyie bado maisha yenu ni kutangatanga hamjasettle ndo maana unaishi Kama popo, leo CCM kesho chadema, kwenu siasa Ni ushabiki,
 
Sawa Mkuu ,endelea kubaki ndani ya CCM yako .

Kwani Wewe Siku zote tu Mkuu ulijua kabisa kuwa Mimi GENTAMYCINE ni 'Mpinzani' na hasa mwana CHADEMA? Mimi na CCM ni Dam Dam sawa?
 
Kuna Watu naona wamehoji sana 'posts' zangu nyingi za Kuanzia Jumamosi iliyopita tu hapa Jamvini ( JamiiForums ) huku wakisema kuwa imekuwaje GENTAMYCINE 'nimebadilika' ghafla. Natoa Jibu la jumla jumla kwani huenda wengi wenu ni Wageni Kwangu. Kuanzia sasa hadi Uchaguzi Mkuu nipo 'Kikampeni' zaidi kupitia Chama changu cha CCM na Mgombea wetu 'Mwamba' Rais Magufuli.

Mimi siyo 'Mpinzani' na haitotokea Maishani mwangu nikawa 'Upinzani' kwani nimezaliwa ndani ya CCM na nitafia ndani ya CCM yangu. Nimemaliza!
NDIO MAANA HUWA UNASIMAMIA UKWELI.
HONGERA SANA MKUU.
 
NDIO MAANA HUWA UNASIMAMIA UKWELI.
HONGERA SANA MKUU.

Na huo ndiyo 'Ukweli' halisi. Mimi ni CCM, ila wakikosea 'nawasema' ili wawe sawa na hata 'Upinzani' nao 'wakipatia' sitoacha 'Kuwasifia' pia hapa.
 
Back
Top Bottom