Huu si uungwana waziri wa elimu ajihudhuru kwenye kiti chake

Principal Focus

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2013
Posts
925
Reaction score
550
Huu si uungwana matokeo yatoke lakini watoto wengine wawekewe withheld wakati ada ya mtihani wamelipia na kama haitoshi serikali ipo kimya muda wote toka tarehe 21 feb mpaka leo serikali haijasema matokeo ya hao watoto yatatoka lini.Huku ni kukandamizana mwenye pesa kwanza masikini imekula kwako,tunataka serikali iseme matokeo hayo yaliyokuja withheld yatatoka lini? Au ndo mnataka raia waandamane kisa kitu cha upuuzi.Wananchi tumechoka waziri ajiudhuru kwenye kiti chake.
SERIKALI ISEME KAMA YATATOKA AU HAYATOKI HICHI NDICHO TUNACHOTAKA UKWELI SIO KITU KINGINE
 
Nami nakuunga mguu,maana wamezoea hili limefikia mpaka matokeo kidato cha pil wanafichiwa matokeo huku wametoa ada kwel?
 
Aisee punguza jazba ndugu!! Ungeenda huko wizarani ukajue vizuri!!
 
Ya mdogo wangu yalizuiliwa pia, nikafuatilia shuleni kwasababu ada ya mtihani ilipwa wakaniambia hivi: "kwa miaka ya nyuma tulikuwa tunatuma pay slip kwenda wizarani kwa njia ya fax, lakini kuanzia mwaka 2013 hawakutaka tutume kwa njia hyo, lakini hawakutoa taarifa kabla, hvyo kwa matokeo yaliyozuiliwa taarifa za malipo zilitumwa kwa njia ya fax ". Baada ya kuona hvyo, wakamtuma mwl apeleke original paying slip, na baada ya siku 2 yakafunguliwa. Embu fuatilia shuleni kujua tatizo ni nini.
 
ndugu kuandamana kwaajili ya matokeo si jambo la kipuuzi.
 

kama wanajua kosa lao kwann wasirudie kuangalia upya record zao n kama co uzembe yacnge malza wk yapo withheld hii ni demo 2napewa kila ck au mpaka awekewe video nomination zake ndo ajue uzaifu wake jux vzaz vya ss hv n tofaut na zaman mkubwa
 
Ndio bt mpka ln atarekebisha mistake zake hata kama wanasema a man learn through mistake yy kazd
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…