Huu ubaguzi wa vyuo kwenye ajira sio wa kufumbia macho, ukemewe!

Huu ubaguzi wa vyuo kwenye ajira sio wa kufumbia macho, ukemewe!

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
10,406
Reaction score
19,892
Why iwe udsm na mzumbe tu? Kwa nini wasitoe equal chance na kwa vyuo vingine?

Screenshot_20240302_124219_Opera Mini.jpg
 
Vyuo hivyo ni bora ukiona hivyo.

Ni serikali pekee ndio inayoweza kuajiri watu wasio na uwezo tena ni sababu ya kujuana.

Ika hakuna muajiri wa sekta binafsi akahitaji mtu asiye na uwezo.

Ndiyo maana ukienda international organization kubwa kubwa unakutana na project coordinator by proffesion ni mwalimu.
Au nenda CRDB unakutana na managers ni walimu by profession.

Kwahiyo ukiacha vyuo hivyo vinavyoaminika vinatoa competent workers.

Kwako wewe mwengine hakikisha una skills za ziada.

Wasalaam
 
Why iwe udsm na mzumbe tu?kwa nini wasitoe equal chance na kwa vyuo vingine?
Kama unasoma Bcom, PSPA au education na unataka kuajiriwa anza kushiriki mbio za mwenge unaweza ukatunukiwa ukuu wa wilaya. Kama hauna nia ya kuingia kwenye siasa tumia boom lako la kwanza kama mtaji wa kufanya biashara. Nimeshuhudia watu wana PHD kwenye hizi taaluma na bado wanagongea bia. Kama umemaliza degree yako nakushauri somea ufundi wowote unaohusiana na ujenzi. Seremala, plumbing au umeme. Ukimaliza andaa team yako ya watu waaaminifu nenda kwenye site kubwa omba kuuziwa kazi kwa ujumla. Utapiga hela mpaka utakimbia.
 
Nawe uliyatakka mwenyewe kwanini usiende kusoma kwenye hivyo vyuo pendwa.
!!
Mfano wewe unataka kubobea kwenye mambo ya Kilimo halafu unaikimbia SUA... Kweli 🤔una mawazo..
 
Kama unasoma Bcom, PSPA au education na unataka kuajiriwa anza kushiriki mbio za mwenge unaweza ukatunukiwa ukuu wa wilaya. Kama hauna nia ya kuingia kwenye siasa tumia boom lako la kwanza kama mtaji wa kufanya biashara. Nimeshuhudia watu wana PHD kwenye hizi taaluma na bado wanagongea bia. Kama umemaliza degree yako nakushauri somea ufundi wowote unaohusiana na ujenzi. Seremala, plumbing au umeme. Ukimaliza andaa team yako ya watu waaaminifu nenda kwenye site kubwa omba kuuziwa kazi kwa ujumla. Utapiga hela mpaka utakimbia.
Sio kirahisi ivo mzee nani akupe tenda kwenye site kubwa bila Kujua Experience yako au reputation yako kwenye industry izo construction works zote zina taka muda mrefu kugain trust kwa clients it's not a one night stand mzee, Na tayari watu wapo Sokoni and they are much more experienced na reputation zao ziko very high, Sizuii watu kuengange na izo activities ila zina take muda na lazima uwe patient enough kuwin Soko
 
Sio kirahisi ivo mzee nani akupe tenda kwenye site kubwa bila Kujua Experience yako au reputation yako kwenye industry izo construction works zote zina taka muda mrefu kugain trust kwa clients it's not a one night stand mzee, Na tayari watu wapo Sokoni and they are much more experienced na reputation zao ziko very high, Sizuii watu kuengange na izo activities ila zina take muda na lazima uwe patient enough kuwin Soko
Inachukua muda lakini sio zaidi ya miezi sita.Rafiki yangu jaribu uone kuna watu wanajenga maghorofa bila kuajiri kampuni. Vile vibao vya vibali unaviona hapo site vinakutisha. Tembea uone unajua wiring ya ghorofa 2 storey unalipwa sh ngapi ? Tatizo watanzania mmekariri. Naongea kitu ambacho nimeshuhudia kwa macho yangu sio nadharia. Nishawahi kumuuzia a dogo kazi ya 1.2 m akimaliza ndani ya wiki na hiyo ni hela ya ufundi. Mimi ni Civil Engineer kuna vijana wanachukua tenda za kusuka NONDO wanapiga hela mpaka unafurahi.
 
Why iwe udsm na mzumbe tu?kwa nini wasitoe equal chance na kwa vyuo vingine?
Hii ilikua zamani mkuu kipImdi hicho hizi kozi za BCOM ipo UDSM na BAF (MZUMBE) na matangazo mengi ya ajira yalikua hivyo,miaka hii huwezi kutana na kitu kama hicho
Ata hili tangazo lako umeli crop bila shaka la miaka ya nyuma kidogo vyuo vingine vilikua vinatoa advanced diploma ya accounts kama IFM,TIA,IAA,na CBE
 
Inachukua muda lakini sio zaidi ya miezi sita.Rafiki yangu jaribu uone kuna watu wanajenga maghorofa bila kuajiri kampuni. Vile vibao vya vibali unaviona hapo site vinakutisha. Tembea uone unajua wiring ya ghorofa 2 storey unalipwa sh ngapi ? Tatizo watanzania mmekariri. Naongea kitu ambacho nimeshuhudia kwa macho yangu sio nadharia. Nishawahi kumuuzia a dogo kazi ya 1.2 m akimaliza ndani ya wiki na hiyo ni hela ya ufundi. Mimi ni Civil Engineer kuna vijana wanachukua tenda za kusuka NONDO wanapiga hela mpaka unafurahi.
Doh unamaanisha kwamba upo umejiajiri unapiga hizo kazi sio? Kwa sababu mimi mwenyewe ninasomea Civil Engineering ningelipenda unisanue jinsi mambo yanavoenda huko mtaani!
 
Back
Top Bottom